Mjeshi ammiminia mkewe risasi

bwana mdogo sio hivyo, watu waseme wasiseme, jaji hawezi akawasikilia, yeye atahukumu kulingana na sheria inavyosema kulingana na ushahidi utakaotolewe mahakamani. hiyo ya kusema wakili wake atasema kuwa mteja wake ameanza kuhukumiwa na kamanda, itasaidia tu kutokumchafulia mshikaji jina, ila haina effect yoyote, ndo maana kuna kukata rufaa mkuu, jaji akileta za kuleta, kama una uhakika kuwa alikwa biased na minong'ono ya wananchi au ya kamanda, you will appeal to the higher court. so haina connection kabisa, hiyo huwa inakuwa ni defensive mechanism ya mawakili tu, lakini haina effect kwa majaji.

to tell you, wanasheria na majaji wanazo ethics zao, wameenda shule, na wamefundishwa kuwa, mtu hana kosa hadi ithibitike kuwa ana kosa kwa ushahidi unaojitosheleza ambao hauna mashaka. tatizo ni pale kila mtu anapojifanya anajua sheria kwasababu alisoma kesi moja au hata kumi kwenye gazeti, waulize wanasheria wamesoma kesi ngapi, kama sio laki nane na uchafu...hahaha.
 
We utamweza Pundit.....mwenzako anaweza akaunganisha kuhusu hayo aliyosema kamanda na Freud, binary, galaxy, milky way n.k.

Actually Freudian theorization of the negatives would typically characterize this commander, who is further speculating on a case that some would bland as a reversal of the Edipal complex being that the binary relationship was reaching an emotional black hole similar to the one in the centre of the Andromeda Galaxy but only figuratively because this one is in the Milky Way and in the realm of Psychology, not Cosmology.

There you have it!

Happy now?
 
bwana mdogo sio hivyo, watu waseme wasiseme, jaji hawezi akawasikilia, yeye atahukumu kulingana na sheria inavyosema kulingana na ushahidi utakaotolewe mahakamani. hiyo ya kusema wakili wake atasema kuwa mteja wake ameanza kuhukumiwa na kamanda, itasaidia tu kutokumchafulia mshikaji jina, ila haina effect yoyote, ndo maana kuna kukata rufaa mkuu, jaji akileta za kuleta, kama una uhakika kuwa alikwa biased na minong'ono ya wananchi au ya kamanda, you will appeal to the higher court. so haina connection kabisa, hiyo huwa inakuwa ni defensive mechanism ya mawakili tu, lakini haina effect kwa majaji.

to tell you, wanasheria na majaji wanazo ethics zao, wameenda shule, na wamefundishwa kuwa, mtu hana kosa hadi ithibitike kuwa ana kosa kwa ushahidi unaojitosheleza ambao hauna mashaka. tatizo ni pale kila mtu anapojifanya anajua sheria kwasababu alisoma kesi moja au hata kumi kwenye gazeti, waulize wanasheria wamesoma kesi ngapi, kama sio laki nane na uchafu...hahaha.


Bado mgumu wa kuelewa,

For all practical purposes, judge/ hakimu na wakili wala hawawezi kui bring up hii article kwenye kesi, kwa jinsi ninavyojua mimi mambo ya bongo. Na hicho ndicho unachoongelea.

Tatizo linakuja, hiyo hiyo sheria unayosema jaji atahukumu kwa mujibu wake, misingi yake, inatetea fair trial, inakataza makamanda wa polisi kuleta speculations katika kesi, kwa hiyo point yangu ni kuwa, kama kuna wakili machachari, anaweza kuitumia misingi ya sheria hiyo hiyo kumtetea mteja wake.

Hilo unalibishia sasa?
 
Actually Freudian theorization of the negatives would typically characterize this commander, who is further speculating on a case that some would bland as a reversal of the Edipal complex being that the binary relationship was reaching an emotional black hole similar to the one in the centre of the Andromeda Galaxy but only figuratively because this one is in the Milky Way and in the realm of Psychology, not Cosmology.

There you have it!

Happy now?

Sorry but psychobabble does not make me happy....
 
Bado mgumu wa kuelewa,

For all practical purposes, judge/ hakimu na wakili wala hawawezi kui bring up hii article kwenye kesi, kwa jinsi ninavyojua mimi mambo ya bongo. Na hicho ndicho unachoongelea.

Tatizo linakuja, hiyo hiyo sheria unayosema jaji atahukumu kwa mujibu wake, misingi yake, inatetea fair trial, inakataza makamanda wa polisi kuleta speculations katika kesi, kwa hiyo point yangu ni kuwa, kama kuna wakili machachari, anaweza kuitumia misingi ya sheria hiyo hiyo kumtetea mteja wake.

Hilo unalibishia sasa?

ni sheria gani hiyo, itaje, ndo nitajua kuwa unaelewa unachoongea. kama unasema ipo sheria, don't speculate, sema sheria fulani ndo inasema hivyo. usilete mambo ya kwenye magazeti na novel hapa mkuu au bwaga ongea point zingine waache wenyewe waongee hapa.
 
... kauli za rejareja za kamanda wa polisi zinaweza kufanya kesi iwe ngumu zaidi kwa upande wa mashtaka unnecessarily.Kama mtuhumiwa anapata wakili mzuri kama ilivyokuwa katika ile novel, wakili anaweza kuanzisha zogo kwamba mtuhumiwa wake ameanza kuhukumiwa na kamanda wa polisi, na magazeti yakaeneza speculations bila ya kuwa na facts.

Mfano na hii kesi una common thread, law enforcement wanaoslack katika wajibu wao wa kuweka mazingira ya fairness.This is what matters, it does not matter if you quote from Virgil, Homer, Confucius, Mkwawa, Umsolopagaas, Sidney Sheldon etc, what matters is one thing, is the illustration valid?

Sijui tatizo kuelewa hapa ni nini?

Tatizo ni kum lambast Kamanda wa polisi kwa kutumia novel!

Novel ya Kimarekani inaweza kuwa sio valid illustration. Haipigi picha jamii ya Kitanzania. Unakumbuka Form Two tulikuwa tunafundishwa definition moja ya tamthilia : Literature is the author's reflection of social reality.

Ukianza kutumia mifano ya tamthilia kutoka kwenye fiction za "Rage of Angles" sijui "Rage of Anger" unakuwa kama mtu ambae yuko out of touch na jamii yake. I mean, I can care less to read "Rage of Anger" in order to try and understand the social/legal phenomenon ya jamii yetu ya Kitanzania.

Unakuwa kama Mwanakijiji aliyeulizwa na Katibu Tarafa utakuja lini Tanzania kujionea mwenyewe mambo labda ukirudi utakuwa unaandika tofauti, akasema hilo swali hajalichukulia seriously! Ndio wewe sasa, out of touch!
 
ni sheria gani hiyo, itaje, ndo nitajua kuwa unaelewa unachoongea. kama unasema ipo sheria, don't speculate, sema sheria fulani ndo inasema hivyo. usilete mambo ya kwenye magazeti na novel hapa mkuu au bwaga ongea point zingine waache wenyewe waongee hapa.

Hata kusoma kazi, nimekwambia misingi ya sheria.I am going deeper than mere sheria, naongelea misingi ya sheria. You are talking laws, I am talking legal concepts.Laws can be changed by an act of parliament, legal concepts cannot. Mimi naongea human rights na constitutionalism

The right to a fair trial is provided for in article 13 of the constitution

(a) when the rights and duties of any person are being determined by the court or any other agency, that person shall be entitled to a fair hearing and to the right of appeal or other legal remedy against the decision of the court or other agency concerned.

(b) No person charged with a criminal offence shall be treated as guilty of that offence until proven guilty of that offence

endelea kusoma mpaka e

Page 20 ya PDF, kama unayo PDF reader...

[media]www.chr.up.ac.za/hr_docs/constitutions/docs/TanzaniaC.pdf[/media]
 
ni sheria gani hiyo, itaje, ndo nitajua kuwa unaelewa unachoongea. kama unasema ipo sheria, don't speculate, sema sheria fulani ndo inasema hivyo. usilete mambo ya kwenye magazeti na novel hapa mkuu au bwaga ongea point zingine waache wenyewe waongee hapa.

Mbeba Maono,

Umesema wakupelekee hii case umtetee mjeshi based on "provocation doctrine."

Naomba uonyeshe statute ya "Provocation Doctrine."

Au kama ni decisional law, naomba uonyeshe authority ya case law.
 
Tatizo ni kum lambast Kamanda wa polisi kwa kutumia novel!

Novel ya Kimarekani inaweza kuwa sio valid illustration. Haipigi picha jamii ya Kitanzania. Unakumbuka Form Two tulikuwa tunafundishwa definition moja ya tamthilia : Literature is the author's reflection of social reality.

Ukianza kutumia mifano ya tamthilia kutoka kwenye fiction za "Rage of Angles" sijui "Rage of Anger" unakuwa kama mtu ambae yuko out of touch na jamii yake. I mean, I can care less to read "Rage of Anger" in order to try and understand the social/legal phenomenon ya jamii yetu ya Kitanzania.

Unakuwa kama Mwanakijiji aliyeulizwa na Katibu Tarafa utakuja lini Tanzania kujionea mwenyewe mambo labda ukirudi utakuwa unaandika tofauti, akasema hilo swali hajalichukulia seriously! Ndio wewe sasa, out of touch!

Na pia inaweza kuwa valid illustration. Nakumbuka kina kitabu kinachoitwa An Enemy of the People. Setting yake ni moja ya nchi za huko Scandinavia (Norway kama sijakosea). Kwa nini kinatumiwa kufundishia English literature bongo?
 
Haya pamoja na mabishano yenu ya kutaka kuonyeshana nani zaidi lakini kubwa ni kuwa masuala ya mahusiano na mivurugano inayotokea kati ya wapenzi inahitaji kiwango kikubwa cha busara once mtu anpokuwa provoked katika kiwango cha juu....Hili la huyu mjeshi kumlima mkewe risasi kwa kweli litakuwa lilimfikisha jamaa mahali pagumu na kufanya alichofanya... Sina jinsi ya kulielezea sana lakini kubwa ni kwamba sheria itachukua mkondo wake....But people you need to be extra careful na hivi visimu vya mkononi katika mahusiano ni vibaya sana kama mtu atatumia isivyo....Sijui na hili nalo tumsingizie shetani kuwa alipita hapo???
 
Tatizo ni kum lambast Kamanda wa polisi kwa kutumia novel!

Novel ya Kimarekani inaweza kuwa sio valid illustration. Haipigi picha jamii ya Kitanzania. Unakumbuka Form Two tulikuwa tunafundishwa definition moja ya tamthilia : Literature is the author's reflection of social reality.

Ukianza kutumia mifano ya tamthilia kutoka kwenye fiction za "Rage of Angles" sijui "Rage of Anger" unakuwa kama mtu ambae yuko out of touch na jamii yake. I mean, I can care less to read "Rage of Anger" in order to try and understand the social/legal phenomenon ya jamii yetu ya Kitanzania.

Unakuwa kama Mwanakijiji aliyeulizwa na Katibu Tarafa utakuja lini Tanzania kujionea mwenyewe mambo labda ukirudi utakuwa unaandika tofauti, akasema hilo swali hajalichukulia seriously! Ndio wewe sasa, out of touch!

Novel ya Kimarekani inaweza kuwa sio valid illustration

Ukisema "inaweza kuwa siyo valid illustration" kwa maneno mengine umesema "inaweza kuwa valid illustration", ukisema the glass is half empty" kwa maana nyingine umesema the glass is half full.Ondoa ambiguous statements, sema illustration ni valid au siyo valid?

Literature is the author's reflection of social reality.

Nimeshasema, social reality hapa zina coomon thread, kwamba wote tuna rule of law inayojengwa na fairness, a fair trial.Sasa mzozo uko wapi? Au ndiyo hii unnecessary anti-Americanism? Kwamba mtu aki quote kitu cha Marekani watu wanawaka kinafiki wakati at the same time wako Marekani, wanafanya kazi Marekani, wanasoma Marekani?

Ukianza kutumia mifano ya tamthilia kutoka kwenye fiction za "Rage of Angles" sijui "Rage of Anger" unakuwa kama mtu ambae yuko out of touch na jamii yake.

Wala si kweli, huu ni unafiki wa kimawazo na ufinyu wa upeo.Kwamba mimi nikiona a common theread niogope kutumia mfano ninaoujua eti tu kwa sababu si wa kitanzania? How parochially provincial!

Mimi ninayetoa mifano ya Kimarekani naweza kuwa in touch na sheria kuliko huyo anayetoa gaffes tu, na moja ya sababu za kutoa gaffes ni kwa sababu hajawa exposed.Tunakataa exposure eti tusionekane tupo out of touch na Tanzania, halafu tunataka kuwa lambast makamanda wa polisi wanaotoa gaffes kwa sababu hawana exposure, how absurd.

Nimeshasema,

Mfano na hii kesi una common thread, law enforcement wanaoslack katika wajibu wao wa kuweka mazingira ya fairness.This is what matters, it does not matter if you quote from Virgil, Homer, Confucius, Mkwawa, Umsolopagaas, Sidney Sheldon etc, what matters is one thing, is the illustration valid?

Do you dispute the validity of a point because of it's source? Wewe si ndiye ulikuja hapa na ku sema hujali pecking order ya JF, unajali point tu?

True objectivity is blind of source, kama
 
Haya pamoja na mabishano yenu ya kutaka kuonyeshana nani zaidi lakini kubwa ni kuwa masuala ya mahusiano na mivurugano inayotokea kati ya wapenzi inahitaji kiwango kikubwa cha busara once mtu anpokuwa provoked katika kiwango cha juu....Hili la huyu mjeshi kumlima mkewe risasi kwa kweli litakuwa lilimfikisha jamaa mahali pagumu na kufanya alichofanya... Sina jinsi ya kulielezea sana lakini kubwa ni kwamba sheria itachukua mkondo wake....But people you need to be extra careful na hivi visimu vya mkononi katika mahusiano ni vibaya sana kama mtu atatumia isivyo....Sijui na hili nalo tumsingizie shetani kuwa alipita hapo???

Ndiyo maana wengine hatuoi, kwani huyu mjeshi hajawahi kuisikia talaka?
 
Mbeba Maono,

Umesema wakupelekee hii case umtetee mjeshi based on "provocation doctrine."

Naomba uonyeshe statute ya "Provocation Doctrine."

Au kama ni decisional law, naomba uonyeshe authority ya case law.

hahaha, wewe, unataka sheria inayoonyesha provocation, ni nyingi mkuu zikikusanywa pamoja ndo utapata kitu kimoja. ila nitakupa mbili tu kwasaabu siamini kama wewe unajua sheria, hata ukipewa nyingi huwezi elewa kitu. Nenda kasome penal code tunayotumia hapa tanzania, na sheria ya ushahidi ya mwaka 1967. ukimaliza hizo nitakupa zingine. sitaki kukutajia vifungu kwasababu hautaenda hata huko kusoma.

kwa upande wa precedents(the one you are calling decisional laws), ni nyingi kishenzi rafiki yangu, nashindwa nikupe ipi, yaani kuna kesi zilianza kuamuliwa tangu karne ya kumi na tisa hadi leo tunatumia, ni maelfu ya kesi(nyingi za uingereza na zipo za tz pia). zilizo nyingi bwanamdogo zinahusu mahusiano ya mapenzi hayahaya.....sasa unaposema nianze kutaja, sikuelewi kwasababu watu tunasoma miaka minne, kwasaba mitano LLB na tunapata kusoma sheria nyingi na kesi nyingi. kama nikiorodhesha hapa hapatatosha, na hauwezi kuelewa, hadi ukasome sheria, ndo maana mawakili wapo pamoja na kwamba vitabu vya sheria vipo wazi kwa kila mtu kuvisoma. kwahiyo kwa hili nashindwa nikusaidie vipi....
 
Ukisema "inaweza kuwa siyo valid illustration" kwa maneno mengine umesema "inaweza kuwa valid illustration", ukisema the glass is half empty" kwa maana nyingine umesema the glass is half full.Ondoa ambiguous statements, sema illustration ni valid au siyo valid?



Nimeshasema, social reality hapa zina coomon thread, kwamba wote tuna rule of law inayojengwa na fairness, a fair trial.Sasa mzozo uko wapi? Au ndiyo hii unnecessary anti-Americanism? Kwamba mtu aki quote kitu cha Marekani watu wanawaka kinafiki wakati at the same time wako Marekani, wanafanya kazi Marekani, wanasoma Marekani?



Wala si kweli, huu ni unafiki wa kimawazo na ufinyu wa upeo.Kwamba mimi nikiona a common theread niogope kutumia mfano ninaoujua eti tu kwa sababu si wa kitanzania? How parochially provincial!

Mimi ninayetoa mifano ya Kimarekani naweza kuwa in touch na sheria kuliko huyo anayetoa gaffes tu, na moja ya sababu za kutoa gaffes ni kwa sababu hajawa exposed.Tunakataa exposure eti tusionekane tupo out of touch na Tanzania, halafu tunataka kuwa lambast makamanda wa polisi wanaotoa gaffes kwa sababu hawana exposure, how absurd.

Nimeshasema,



Do you dispute the validity of a point because of it's source? Wewe si ndiye ulikuja hapa na ku sema hujali pecking order ya JF, unajali point tu?

True objectivity is blind of source, kama

Unajua tatizo la Kuhani anapenda sana kukosoa na saa ingine anazidisha na anapozidisha ndio anazidi kuchemsha. Sijui anafanya mazoezi ya ku-debate au vipi? Eti inaweza ikawa sio valid illustration....kama ni hivyo basi pia inaweza ikawa....kwa jinsi anavyopenda kukosoa mtu asingetegemea yeye kutoa asinine statement kama hii!!!!! Grrrrrrrrrrrrrrrrr
 
hahaha, wewe, unataka sheria inayoonyesha provocation, ni nyingi mkuu zikikusanywa pamoja ndo utapata kitu kimoja. ila nitakupa mbili tu kwasaabu siamini kama wewe unajua sheria, hata ukipewa nyingi huwezi elewa kitu. Nenda kasome penal code tunayotumia hapa tanzania, na sheria ya ushahidi ya mwaka 1967. ukimaliza hizo nitakupa zingine. sitaki kukutajia vifungu kwasababu hautaenda hata huko kusoma.

kwa upande wa precedents(the one you are calling decisional laws), ni nyingi kishenzi rafiki yangu, nashindwa nikupe ipi, yaani kuna kesi zilianza kuamuliwa tangu karne ya kumi na tisa hadi leo tunatumia, ni maelfu ya kesi(nyingi za uingereza na zipo za tz pia). zilizo nyingi bwanamdogo zinahusu mahusiano ya mapenzi hayahaya.....sasa unaposema nianze kutaja, sikuelewi kwasababu watu tunasoma miaka minne, kwasaba mitano LLB na tunapata kusoma sheria nyingi na kesi nyingi. kama nikiorodhesha hapa hapatatosha, na hauwezi kuelewa, hadi ukasome sheria, ndo maana mawakili wapo pamoja na kwamba vitabu vya sheria vipo wazi kwa kila mtu kuvisoma. kwahiyo kwa hili nashindwa nikusaidie vipi....

The folly of presumptuousness!

You could be talking to the Attorney General for all we know, such blinding arrogance!

Lawyer hata basics za rule of law and internationally recognized and ratified human rights zinampiga chenga?
 
sasa wewe ulitaka mimi nianze kuandika sheria hapa kwani nafanya mtihani au naandaa kesi yangu? mimi hapa siwezi fanya hivyo, niko naandika point mbalimbali kwenye topic mbalimbali, siwezi nikacheleweshwa na wewe unaetaka vitu kama hivyo, nenda shule au kachukue mwanasheria yoyote atakusaidia tatizo lako. you say it is arrogance, lakini ya kwako ndo zaidi, kuongelea novel kwenye legal matters, hahahaha. walioandika hizo novel au tamthilia, walisoma sheria au walikuwa waalimu wa secondry na high school....hahaha pole mkuu.
 
sasa wewe ulitaka mimi nianze kuandika sheria hapa kwani nafanya mtihani au naandaa kesi yangu? mimi hapa siwezi fanya hivyo, niko naandika point mbalimbali kwenye topic mbalimbali, siwezi nikacheleweshwa na wewe unaetaka vitu kama hivyo, nenda shule au kachukue mwanasheria yoyote atakusaidia tatizo lako. you say it is arrogance, lakini ya kwako ndo zaidi, kuongelea novel kwenye legal matters, hahahaha. walioandika hizo novel au tamthilia, walisoma sheria au walikuwa waalimu wa secondry na high school....hahaha pole mkuu.

Lawyer, lawyer lawyer,

Lawyer asiyejua misingi ya sheria wala ku construct argument, kama nina kesi siwezi kutaka kuwa na lawyer kama wewe.Matter of fact I doubt you are a lawyer at all.

Mimi nilikuwa wala siandiki sheria, nilikuwa naongelea misingi ya sheria inayotumika tangu enzi za Pax Romana na Magna Carta.Ni wewe ndiye uliyeniambia nikuletee sheria, sasa kati yako wewe usiyeelewa misingi ya rule of law na uliyenitaka mimi nilete sheria specific kuhusu a fair trial na mimi niliyekuwa naongelea misingi ya sheria nani alikuwa anataka kuandika sheria?

Mimi nime cite mfano kutoka literature, kama command yako ya literature iko limited that is too bad, aren't lawyers supposed to be "learned friends"?.Mwenzako Jaji Ramadhani anachapa mpaka mashairi kwenye rulings zake, ana cite mpaka wafaransa jinsi walivyoendesha mapinduzi yao kumtoa mfalme Louis. Mfano wangu nimeelezea validity yake, na zaidi ya hapo nikaeleza kuwa source ya mfano kwa mtu objective si swala, swala ni validity ya mfano.umeshindwa ku dispute, sasa hivi unaruka ruka na excuses, kwani nani hachangii kwenye topiki mbali mbali? kwani nani anayefanya mtihani?

Kila uanvyozidi kuandika ndivyo unavyozidi kujiexpose utupu wako!
 
ni sheria gani hiyo, itaje, ndo nitajua kuwa unaelewa unachoongea. kama unasema ipo sheria, don't speculate, sema sheria fulani ndo inasema hivyo. ....

sasa wewe ulitaka mimi nianze kuandika sheria hapa kwani nafanya mtihani au naandaa kesi yangu? mimi hapa siwezi fanya hivyo, ...


Angalia ma lawyer wa JF mnavyo ji contradict. Halafu unasema mjeshi akupelekee kesi yake.

Give me a break.
 
hahaha, sheria gani kwa hapo mkuu, rekebisha ni ipi ambayo siijui na wewe uweke ukweli wake....mbona una hasira bwana mdogo....tatizo sio wewe uje unichukue mimi niwe mwanasheria wako, tatizo ni kwamba hautakuwa na uwezo wa kunichukuwa mimi kwasababu mimi fee yangu iko juu sana na kesi ya mwanajeshi sitachukua kwasababu hana hela ya kunilipa. kesi zangu mimi ni za kina Dito, sio za wanaeshi watakao leta laki tano.

you know what the rule of law means? kuna connection gani ha hapa?, sisi wenzio ndo kazi tunazozifanya kila siku hizo, hatuna hata haja ya kujitangaza kwasababu tumeshajitangaza miaka mingi, na watu wanatufuata hata tusipowaita. hadi tunachagua tu ma clients...hahaha.

come back to the point, usiongee mambo ya novel kwenye sheria, wala usilazimishe vile unavyojua wewe kutokana na unavyojitahidi kusoma novel na tamthilia na mikanda ya kimarekani, kwamba watu waamini na kukubaliana na chochote unachosema hata kama ni utumbo. umeshemsha mkuu, tafuta point zingine.
 
Back
Top Bottom