Mjeshi afunguka kuhusu Arusha


Nyie watu wa elfu 7, 7 leo mmejazana humu si mchezo ama mmeongezeka nini?
 
Sina hakika na nilicho soma na kukiona ktk picha ila niwazavyo mm, tanzia tunahitaji amani na utulivu sana na kujazana chuki, udini, ukabila na uchama huu utatugawa na kutuacha tukimwaga damu kila kukicha, tuache kuposhana, na wala sipo tayar kw mtu yoyote aliye changia au kuandika mada kumuita mtu msenzi, muongo, mpuuz na majina mengine M/mungu ibariki tanzania tubaki kuwa wa1 ni hivyo tu mm napita.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mungu saidia CDM na UDHALIMU wa CCM ubakie uchi.
 
Usitake kulipaka jeshi matope kama ni kweli na jamaa anchosema anauhakika nacho akatoe ushahidi mahala panapo stahili siyo kutaka kujaza chuki kwa wananchi. Mzalendo wa kweli hajifichi na kusema kinafiki.
 
Hivi hao wanajeshi huwa hawatumii akili, au wako kama mbwa wa kufuga, wakiachiwa minyororo wanang'ata tu.
Kwani kama wangalikwenda halafu wakabaki watulivu, kunatokea nini, wote hawana akili....

Narrow thinking! wewe ndo huna akili
 
Ndugu zangu tuangalie Mbele na Nyuma , what about hizi shutuma za Mtwara, hasa ukiangalia Jinsi Mh. Prof. Lipumba anavyo lalamika kuhusu Mtwara wanajeshi wanavyotumika. Nina wasiwasi nafikiri mtoa maada yupo sawa.hiyo habari itakuwa ya uhakika.
 


Hii taarifa itakuwa ya Ukweli. Wakati wa Chaguzi karibia zote zinazotarajiwa kuipa CCM shida walinzi huwa JWTZ katika magwanda ama ya Polisi, au ya Mgambo. Hii taarifa nilipewa na Mwanajeshi ambaye huwa hana sababu ya kunidanganya.
 
Hadithi yako nzuri sana mkuu

Njiwa, hiyo sio hadithi. Kwa tuliokuwa Zenji 2005 tuliona hilo. Askari wote wa kutuliza ghasia, wanajeshi na mambo mengine walikuwa imported kutoka bara. Sishangai hilo la Arusha. Kwa mantiki ni kwamba, askari polisi mnaeishi nyumba moja uraiani hawezi kuua majirani zake ambao anajua baadhi yao atakutana nao jioni kwenye nyumba hiyo ya mtaani anakoishi. Kwa hiyo basi, ili kupunguza chuki, kwa wananchi majirani wanachukuliwa wajeda kutoka mbali ili kuja kushusha kipondo hapo mahali. Kumbuka kwamba kota za polisi hazitoshi, wengi tupo nao mtaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…