MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Wana Jf habare za wiki end ninaomba msaada wetu tafaradh mana leo hasubuh hasubuh nimepokea simu ya mshikaji wangu au best yangu akiniuliza eti hajafanya makosa kufanyanae mapenz mke wake bila kutumia condom mana mkewe ni mjamzito wa miezi minne sasa. Na miezi yote ya nyuma alikuwa anatumia condom katika tendo je? Kufanya hvyo hajafanya makosa. Ushauri wenu tafadhar mana hata mm nimeshindwa kumjibu vizur mana ninasikiaga mkeo akiwa mjamzito kunakuwa na hili mara lile hebu msaada wenu tafadhar?