Mjali mama kijacho wako

No3❌️❌️
No7❌️❌

Nakuomba uzifute
 
Nipe hoja Mkuu
No3:-Nimsaidie kazi kwa sababu gani? Tangu lini mimba ikawa ugonjwa?

No7:-Hadi inafikia hatua ya kumuogesha ina maana hajiwezi kiasi ambacho anahitaji msaada kama mgonjwa mahututi sio?

Mimi mke wangu huwa anaoga mwenyewe hafi siku ya kwenda kujifungua.

Wewe ninachokiona hapa ni kwamba unataka sasa hadi kazini nisiende nifanye hadi kazi za nyumbani kitu ambacho sicho.

Na ukimuendekeza hivi utaimba wimbo mpya kabla hujafika mbinguni
 
No3:-Nimsaidie kazi kwa sababu gani? Tangu lini mimba ikawa ugonjwa?
Kumtunza Mkeo ni jukumu Lako.
Kumsaidia Kazi iwe kwa kumpa Msaidizi wa Kazi za nyumbani, au kumnunulia mashine za kumrahisishia Kazi za nyumbani au kumsaidia wewe mwenyewe hizo Kazi ni jukumu lako kama Mume.

Mwili wa mwanamke ni tofauti na Sisi Wanaume. Ukimfanyisha mikazi mingi mwanamke anapoteza ule utukufu wa kike na inakuwa aibu kwako na Kwa watoto wako.
Mkeo kachoka, kazeeka na watoto watamuona Mama Yao kajichokea Hana utukufu wowote.

No7:-Hadi inafikia hatua ya kumuogesha ina maana hajiwezi kiasi ambacho anahitaji msaada kama mgonjwa mahututi sio?

Kwani watu wanaogeshwa wakiwa wanaumwa?
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Kumuogesha Mkeo ni mapenzi sio Mpaka Aumwe.
Yeye anaweza kukuogesha nawe unaweza kumuogesha.

Kama unaweza Kulala naye uchi kipi cha ajabu kuogeshana?


Mimi mke wangu huwa anaoga mwenyewe hafi siku ya kwenda kujifungua.

Wewe ninachokiona hapa ni kwamba unataka sasa hadi kazini nisiende nifanye hadi kazi za nyumbani kitu ambacho sicho.
Kwamba kumuogesha Mkeo inachukua siku nzima?
Ule Muda unaenda kuoga si muende wote wawili bafuni!

Mbona mnakula pamoja,
Mnalala pamoja,
Mnafanya mambo mengi pamoja,
Why kuoga uone ni Jambo Kubwa.

Na ukimuendekeza hivi utaimba wimbo mpya kabla hujafika mbinguni

Kumpa Mkeo mapenzi sio kumuendekeza Bali ni wajibu wako namba Moja kama Mume wake.
 
Kwa kweli, afu mzee wa hall V ndo unakua muongo hivyo?
Nimelia sana.
Jf uongo muhimu...

Si unajua hatupo Sirius saana humu just changamsha genge

Karibu Eid kesho
 
Jf uongo muhimu...

Si unajua hatupo Sirius saana humu just changamsha genge

Karibu Eid kesho
Khaaah! Ko nawee ni muongo? Hili limeniliza sana.
Na kwa kuthibitisha uongo, EID ni leo, sio kesho.
 
Khaaah! Ko nawee ni muongo? Hili limeniliza sana.
Na kwa kuthibitisha uongo, EID ni leo, sio kesho.
Wenzetu wanakula Leo, tunawatakia sikukuu njema saana.

Sisi tunakula kesho insha'Allah
 
Kheeeh kumbe?! Hii EID mbna kivuruge. Lol
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hamna kivuruge hapo.

Sawa tuu na wale wakusali jumamosi na wengine jumapili

Different perception but the same goal

Unajua mambo ya mapokeo
 
Hamna kivuruge hapo.

Sawa tuu na wale wakusali jumamosi na wengine jumapili

Different perception but the same goal

Unajua mambo ya mapokeo
Sidhani km inashabihiana na hilo, nweiii EID Mubarak.
 
Sidhani km inashabihiana na hilo, nweiii EID Mubarak.
Vina shabishiana sana, yaan watu wanatofautiana namna wanavyo yapokeoa maandiko na tafsiri zake.

Kutofautiana Katika tafsiri ndio huleta tofauti za siku ya kuabudu as well Kula Eid

Anyway haya yote yaliletwa na watu wamashariki ya Kati..

Kikubwa mwezi umeisha Turudi kwenye Kula kimasikhara
 
Una visa weyee, haya sawa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii kwangu ni hapana Nina kazi nyingi sana za kufanya mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…