Mjadala: Wanaume ndio shida au wanawake?

Mjadala: Wanaume ndio shida au wanawake?

Wote tuna matatizo, mwanamke na mwanaume kila mmoja na matatizo yake...

Hakuna aliye mkamilifu na siku zote huwezi pata yule unayetaka wewe awe kwa asilimia 100...



Cc: mahondaw
 
Da
Wote tuna matatizo, mwanamke na mwanaume kila mmoja na matatizo yake...

Hakuna aliye mkamilifu na siku zote huwezi pata yule unayetaka wewe awe kwa asilimia 100...



Cc: mahondaw
h ni kweli mm nilipataga mwenye 99% ila tuu alikua ana familia nzito sana sijui kama ningewezaga asee hata kama mapenzi ni wa 2.
 
Baharia sijui ni mtu wa aina gani labda jidifine kwanza

Tafsiri ya baharia angalia kwenye kamusi utaona ni wafanyakazi wa baharini sana sana kwenye meli nafikiri ila huyo baharia ni tofauti yeye ni wa nchi kavu
 
kaka naomba aspect 5 ambazo wako stronger than we men.

Mfano mdogo tu Mkuu, lets have foolish assumption kwamba huyu mwanamke ameolewa na anajifanyia vibiashara vyake
Anapika na kufua
Analea watoto kama anao
Ana hakikisha kila waliowake wako salama kadri awezavyo

Bado anakupa upendo na wewe

Yaani kifupi mwanamke ni kama mchezaji kiraka uwanjani anacheza karibia namba zote
 
Ah wapi mimi nimeshasema pesa kwangu siyo kipaumbele maana hata mimi natafuta ila jianaume lizinzi na libabe nitalifanyia kitu kibaya halafu naliacha na pesa zake ila mwanaume muaminifu na mpole kutoka moyoni basi hata mimi sitaona shida kumhudumia
Hapo sasa umeeleweka vyema. Kuna siku niliwahi kukuuliza una value kitu gani kwenye mahusiano hukuweza kunijibu kwa usahihi kona zikawa nyingi ila leo nimepata jibu sahihi la lile swali langu sasa.
 
Utamfanya nini?

Nilishawachapaga kama ninyi zaidi ya wawili

Tena wa mwisho nilimtia kipondo heavy mpaka famila wakanilaza ndani

Unavyosema utamfanya kitu asiamini huenda wewe ndo akukufanya kitu usiamini

Wanawake mnajitutumua kama chatu sana now days

Na mpaka mtu anafikia kukushushi kipondo jua sio suala dogo na yuko tayari kwa matokeo yote yatakayo kuja

Halafu siku hizi wanajifanya kuwa na jeuri kweli sio tu kwa waume zao yaani hata watu baki!

Ukitofautiana nae tu kidogo utaona anaanza ku shout huku akikunyooshea vidole utafikiri anamfokea mwanae..!!

Day fulani tulikuwa tunazunguka zunguka sokoni na mwanangu Chacha, sasa kuna dada mmoja alikuwa amesimama njiani anaongea na simu, jamaa yangu akamwambia kistaarabu tu “dada tunaomba tupite” yule dada aliskia ila akatupuuza huku akiendelea kuongea na simu.

Alichokifanya jamaa yangu ni kumpiga kikumbo mpaka dada wa watu akadondosha simu yake... basi acha aanze kutuporomoshea matusi, aloo yule mchizi wangu alimpa kofi moja mpaka dada akarusha kamasi na akuongea tena alikaa kimya kama hakuna kilichotokea mamaee!!

Hawa viumbe siku hizi wanajifanya wakorofi wakati hata ukorofi hawaujui wala hawauwezi. Dawa akizungua unamalizana nae hapo hapo haina aja ya kujibishana nae sana!
 
Oooh. You are something else Lizarazu

Well,my momma taught me, not to argue with men, because they will never back down!
She was right Yes she was 100% right.

You've already knocked out, but you don't want to admit.
I know my accolades will come sooner or later from you. So don't celebrate just yet, you still a peace of cake.[emoji123][emoji123]View attachment 1169050
Where did you learn these[emoji1477][emoji1477][emoji1][emoji1]
 
Yaani umetoa maelezo mengi ila mwisho wa siku umerudi pale pale kuwa men are physically stronger than women but women are emotionally stronger than men mifano ipo mingi sana na tunapoongelea emotions hatumaanishi eti hizo technological inventions sijui nini no tunamaanisha how to handle things in daily life

Mfano wanaume mkiachwa hamna uwezo wa kuvumilia ila wanawake tukiachwa tuna uwezo wa kuvumilia na vile vile wanaume mkicheat wanawake tuna uwezo wa kuvumilia ila wanawake tukicheat wanaume hamna uwezo wa kuvumilia tukija kwenye hiyo mifano ya Adam na Samson sidhani kama kuna ubishi tena hapo kwamba women can manipulate men just through emotions

Huo mfano wa Esther nao pia ni mzuri imagine ndani ya dakika chache tu kupitia maneno yake bila hata ushahidi wowote aliweza kubadilisha urafiki wa mume wake mfalme Ahasuero na muuaji Hamani na kuwa uadui na mfalme kutoa maamuzi magumu pale pale ya Hamani kunyongwa hadi kufa na ndicho kilichotokea kibongobongo tungesema mwanamke kampa limbwata mume wake

Ila ile ilikuwa ni emotional manipulation mwanamke akitaka kumdhuru mwanaume mara nyingi huwa hafanyi yeye kama yeye bali huwa anamtumia mwanaume mwenzie ili hilo jambo lifanyike na mwisho kabisa naomba nikuulize hili swali je ni kwanini kwenye ukomando kunakohitajika nguvu nyingi wanaotumika sana ni wanaume ila kwenye ujasusi kunakohitajika akili nyingi wanaotumika sana ni wanawake?

Yeah it’s glaring truth men are emotionally weaker than women and that’s where you can control men through manipulation.

Pia inatakiwa uelewe utofauti uliopo kati emotion na mental na jinsi tunavyotofautishwa na hivi viwili, tunaposema unafanya vitu kwa kutanguliza hisia ni kwamba hisia inakuwa ndio driving force ya unachokifanya wakati tukiongelea mental ni intellectual processing.

Innovation ni intellectual aspect ndio maana nikasema kutokana na innovation karibu zote kuwa zimefanywa na wanaume basi men are intellectually superior.

Mara nyingi sisi tunajikuta ni waanga wa maamuzi yenu hasa kwenye mahusiano sababu tunatumia logic wakati huo nyie ni mwendo wa hisia kwa kwenda mbele, ndio maana mnaweza mkafanya jambo mkaliona la kawaida lakini kwa mwanaume akalichukulia kwa uzito sana.

Mfano mwanaume anaumia sana akiona mke wake anachepuka kuliko mwanamke akiona mme wake anachepuka. Sababu mwanaume anafikiri vitu sana kuhusu kuchepuka kwako wakati huo mwanamke yeye hisia zake zitamwambia yawezekana ni tamaa tu za kimwili basi. Na hapo ndio tunaona kwamba you are emotionally stronger!
 
Oooh. You are something else Lizarazu

Well,my momma taught me, not to argue with men, because they will never back down!
She was right Yes she was 100% right.

You've already knocked out, but you don't want to admit.
I know my accolades will come sooner or later from you. So don't celebrate just yet, you still a peace of cake.[emoji123][emoji123]View attachment 1169050

let us accept the battle tied 1-1 hahah!!

we will resume it anytime soon!

And that’s mom of yours was half-right!
 
i believe what i see not in books mana i can be an author too,.. women are too weak mentally, u always do things without thinking hence leading to calamities unlike we who do the thinking.. ndo mana during crisis we evacuate women and children first so that we can combat the problem. .

as a matter of fact i cannot force u to believe me but as far as i know , am surely right.

billion dollars worth comment.
 
Nikiangalia zamani na sasa naona utouti mkubwa kwa wanaume na wanawake.

Tofauti na zamani wanaume wengi wa sasa nikienda hospitali au klinic wapo clinic wenyewe wake zao na watoto au wao na watoto, ukitembea pia barabarani au mtaani unaona pia wanaume na watoto wao wamewabeba.

Naona kabsa utandawazi umefanya wanaume wengi kujali wake zao kwa kuwasaidia kazi mbalimbali za kulea na za nyumbani kama kufua, kupika, kuosha vyombo hata kuogesha watoto lakini ukweli ambao ninao wanaume wengi wanaoishi kwa kujali familia zao ndio zinaongoza kwa migogoro na break up.

Sasa hapa ttzo lipo wapi kwa wanaume, wanawake wanapenda Mwanaume wa namna gani.

Nikiangalia familia ambazo wanaume ndio final say ndio zinaongoza kwa kudumu sana.
Tatizo lipo kote.,hasa wanawake.
Mwanamke anapenda mwanaume romantic lakini at the same time awe na nguvu ya kumcontrol huyo mwanamke.(hapa simaamishi kupiga ama ubabe)
Mwanaume ukiwa mpole Sana yaani ni shida,,,

Shida ya wanaume hawajajua kama kuwa mpole kupita kiasi Cha mwanamke sio vizuri sana..nature ya mwanamke yaani ukimpa Uhuru kupita kiasi anaanza kuchukulia vitu kirahisi rahisi
 
Back
Top Bottom