Maandishi madogo sana hayawezi kuonekana, box lake hilo waweza angalia.Vigeuze maandishi yaonekane.
Kwa sasa ni mwaka ila kadri siku zinavyoenda ndivyo linazidiNingependa nifahamu hilo tatizo una muda gani tangu uwe nalo
Mkuu nenda sehemu inaitwa Kihurio (bagamoyo) kwa wapare huko,kuna mzee ana dawa si ya kubahatisha bora tu mke ana na mayai na wewe uwe na uwezo wa kutia mimba.Huyu mzee akikupa dawa havuki mwezi.nilikuwa na rafiki yangu alihangaika miaka 4 bila mimba alivyoenda kwa babu hakuvuka mwezi,mzee dawa zake sio za ramli bali ni za kunywa tu.chango ni sumu ambazo mwanamke anakuwa nazo,husababishwa na dawa zote za uzazi wa mpango au vyakula vyenye sumu.
alizingatia kweli_?Shika mimba uzae mtoto ndio nasikia tiba yake.