Ukipanda dala dala sauti ya juu zaidi, leo na jana nimepanda zaidi ya tatu, kwenye vituo vya boda boda wanafungulia pia, watembea kwa miguu usiseme ....majumbani nako zile redio za mkulima zilizo saulikaga sasa zimerudi kwenye chati ....
Wametukatia umeme lkn redio one kwanzia asubuhi awaja tuangusha. Mpaka saivi umeme aujarudi bt stl tumooo...