Wananchi wana mwamko wa ajabu na hili jambo
Wananchi wana mwamko wa ajabu na nchi yao si hili jambo tu. Kazi utaiona 2015.
Wananchi wana mwamko wa ajabu na hili jambo
Ukipanda dala dala sauti ya juu zaidi, leo na jana nimepanda zaidi ya tatu, kwenye vituo vya boda boda wanafungulia pia, watembea kwa miguu usiseme ....majumbani nako zile redio za mkulima zilizo saulikaga sasa zimerudi kwenye chati ....
Wametukatia umeme lkn redio one kwanzia asubuhi awaja tuangusha. Mpaka saivi umeme aujarudi bt stl tumooo...
Madai yake ana machungu na chama chake. Sio wewe umemtoa akilini si umesikia ata wenzake wamemzomea .....
Leo hata vibaka wamechukua likizo ya muda na machangu wamesitisha huduma kwa masaa 4