OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,780
Picha zinajieleza.
Nimekuwa nikifikiria sana kuhusu viongozi wetu. Kwenye matukio mengi wameonekana nyuso zao zikiwa uchi kabisa. Hawana barakoa. Wakiongozwa na Rais mwenyewe,mawaziri na wakuu wengine taasisi mbalimbali za umma.
Najiuliza ni maelekezo ya serikali? Ni bahati mbaya? Ni kumuunga mkono rais? Ni protokali?
Tujadili