Nauweka mjadala huru kwenu!
Mazishi mengi ya viongozi kuanzia matibabu hadi mazishi hugharamiwa na serikali, lakini Msiba wa mwananchi maskini hupitia misukosuko kuanzia upatikanaji wa mwili hospitali hata namna ya kuusafilisha!
Je; Ni yupi anaestahili kujigharamia mazishi kati ya kiongozi wa umma au mwananchi wa kawaida ambaye hana ajira wala bima?
KARIBUNI
Mazishi mengi ya viongozi kuanzia matibabu hadi mazishi hugharamiwa na serikali, lakini Msiba wa mwananchi maskini hupitia misukosuko kuanzia upatikanaji wa mwili hospitali hata namna ya kuusafilisha!
Je; Ni yupi anaestahili kujigharamia mazishi kati ya kiongozi wa umma au mwananchi wa kawaida ambaye hana ajira wala bima?
KARIBUNI