Daktari wa Meno
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 509
- 1,610
Tatizo lako nimegundua wewe ni dudumizi. Hivyo lazima upelekwe taratibu upate utelezi.Acha ujinga! Mjadala uko open! Kuhusu mwananchi masikini kustahili msahama wa selikali uwe rasm...wewe unaleta mihemko ya kijinga hapa! Hujui hata hapo unaweza system ikakutema ukarudi kundi la masikini mbuzi wewe
Kwamba wananchi masikini wanatakiwa kulipiwa usafiri wa mwili hadi eneo lao kisa tu ni masikini? Suala la matibabu na kukatalia mwili waziri si alitolea ufafanuzi uliweka wapi masikio yako usisikie alisema nini.
Usipende ofa jitahidi ujitegemee yaani serikali itoe mwili wa dmkali kutoka Muhimbili kwenda Ukerewe kisa tu ni masikini. Yaani uko comfortable unaona umaskini ni njia ya kuhurumiwa?
Huwezi kutaka upewe huduma sawa na mtumishi wa serikali wewe nani uzikwe na serikali na pilau serikali ilipie.