Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 315
- 879
Hizi ni dini za mchongo zilizojaa unafiki na utapeli, zimekuwa zikimantain wafuasi wake kwa kuwajengea hofu ya kutokuswaliwa pindi watakapokufa.
Tumeona hili limekuwa likileta sitofahamu kubwa sana kwenye jamii pale ambapo kiongozi wa dini kwa makusudi kabisa anakataa kumfanya ibada ya msiba, kisa jambo dogo tu ambalo marehemu alipishana na hawa viongozi wa dini.
Sasa serikali iingilie kati suala hili maana waumini wengi wameshachoshwa na utapeli wa dini hizi ila hawajui wanatokaje. Cha kufanyika serikali impe mamlaka Mwenyekiti wa Kijiji kupokea malipo ya kutoa heshima za mwisho kwa marehemu na hivyo Mwenyekiti anahudhuria makaburini anatoa waraka wa kuishi kwa amani na upendo hapa duniani na mwisho anamuru mazishi kuendelea. Baada ya hapo shughuli inakuwa imeisha na watu wanatawanyika.
Nadhani hii itapunguza hawa viongozi wa dini kujiona miungu watu.
Tumeona hili limekuwa likileta sitofahamu kubwa sana kwenye jamii pale ambapo kiongozi wa dini kwa makusudi kabisa anakataa kumfanya ibada ya msiba, kisa jambo dogo tu ambalo marehemu alipishana na hawa viongozi wa dini.
Sasa serikali iingilie kati suala hili maana waumini wengi wameshachoshwa na utapeli wa dini hizi ila hawajui wanatokaje. Cha kufanyika serikali impe mamlaka Mwenyekiti wa Kijiji kupokea malipo ya kutoa heshima za mwisho kwa marehemu na hivyo Mwenyekiti anahudhuria makaburini anatoa waraka wa kuishi kwa amani na upendo hapa duniani na mwisho anamuru mazishi kuendelea. Baada ya hapo shughuli inakuwa imeisha na watu wanatawanyika.
Nadhani hii itapunguza hawa viongozi wa dini kujiona miungu watu.