Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,313
- 105,143
Haya amekwambia nani na unatumia mizani gani kuyapima ?Mkuu mambo haya yanahitaji uelewa mdogo tuu.
Sio kila kitu kilichotumika zamani kwenye dini kitumike sasa hivi.
Muhimu ni zile amri za MUNGU ambazo ndio amri za Asili za ulimwengu.
Kotabu hicho kimeandikwa na nani ?Soma kitabu cha wimbo uliobora utaona muziki wa kidunia aliouimba Suleiman.
Daudi yeye alicheza muziki mpaka akavua nguo.
Zipo sherehe nyingi Sana ambazo muziki ulipigwa
Haya amekwambia nani na unatumia mizani gani kuyapima ?
Shida yako hujibu maswali yangu.
Kotabu hicho kimeandikwa na nani ?
Kama hujaelewa nilichoandika maana yake hukijui unachokijadili. Hili tatizo kubwa sana sasa sijui ujasiri wa kukadili mambo usiyo yajua unaupata wapi aisee.Sirejei kwenye kitu
Sijaelewa ulicho kiandika
Umemjibu mwingine naongela mimi hujibu maswali yangu. Mpaka muda ni swali la moja tu ndiyo umejaribu kujibu nalo umenipa rejea ambayo inahitaji uhakiki.Nimeshamjibu
Naomba ututhibitishie ya kuwa kitabu hicho kimeandikwa na hao wawili.Na Nabii Suleiman na Baba yake Daudi
Naomba ututhibitishie ya kuwa kitabu hicho kimeandikwa na hao wawili.
Muzik haram kwa nan? Ujio wa yesu?Muhamad afrika umeharibu akil za wapuuz weng sana. Na weng wenu mnaoamin hizo sheria za din ngen hata maisha yenu n hovyo..
Amken wakat wa kushkwa akili umepita
Unachamba kuliko hata left handKama hujaelewa nilichoandika maana yake hukijui unachokijadili. Hili tatizo kubwa sana sasa sijui ujasiri wa kukadili mambo usiyo yajua unaupata wapi aisee.