Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,884
- Thread starter
- #21
Unajua unacho kiandika na unarejea kwenye nini ?
Kwami vipasa sauti ni sharti la kukubaliwa ibada ya mtu ?
Nakuuliza tena unakijua unachokijadili ?
Mkuu mambo haya yanahitaji uelewa mdogo tuu.
Sio kila kitu kilichotumika zamani kwenye dini kitumike sasa hivi.
Muhimu ni zile amri za MUNGU ambazo ndio amri za Asili za ulimwengu.