MJADALA: Mkoa gani ni rahisi kijana kutoka kimaisha na kwa shughuli ipi?

Serious kwa mtu anayetaka kupata mtaji na kujiinua kiuchumi hasa kwa kujiajiri mwenyewe aje Morogoro. Wilaya za kilombero na Ulanga. Shughuli kubwa ni kilimo.

Gharama za uendeshaji za maisha kwa kila siku ni ndogo kila mtu anazimudu. Nyumba za kupangisha ni bei rahisi. Huduma za kijamii shule, hospitali na maji vinapatikana.

Kwa mtaji mdogo wa hata Tsh 200000 unaweza kuendesha shughuli ya biashara na ukapata kipato kizuri tu.

Karibuni Kilombero/Ulanga kwa wale wanaotafuta mitaji na nafuu ya gharama za maisha.

Watu qa daslam poleni sana.
 
Mkuu, kwa uzoefu wangu nchi hii kutoka ni vigumu sana,hasa kwa sababu ya siasa zetu za ovyo na kukomoana, kazi iliyobaki ni kujipendekeza kwa Rais na kumsifu. Ukitaka kutoka kimaisha vuka mipaka, ikibidi nenda Kenya. Ukiingia Nairobi pale ukakomaa na biashara ndogondogo unatoka, nchii hii ovyo kwa sasa ndio maana utaona hata Supermarket zinafirisika na zinafungwa
Kwenye nchi hii hii,wengine tumetoka,Maghufuli isiwe kisingizio cha kushindwa "kutoka", amekuwa Raisi juzi tu,
Kuanzia Mtambaswala,wilayani Nanyumbu,mpaka Ngara Kagera,au Kibondo kigoma,mpaka,Nyan'ghwale Shinyanga,fulsa zipo kibao,kilimo,logistic,madini,
Ndugu usilete visingizio,
 
Serious kwa mtu anayetaka kupata mtaji na kujiinua kiuchumi hasa kwa kujiajiri mwenyewe aje Morogoro. Wilaya za kilombero na Ulanga. Shughuli kubwa ni kilimo.

Gharama za uendeshaji za maisha kwa kila siku ni ndogo kila mtu anazimudu. Nyumba za kupangisha ni bei rahisi. Huduma za kijamii shule, hospitali na maji vinapatikana.

Kwa mtaji mdogo wa hata Tsh 200000 unaweza kuendesha shughuli ya biashara na ukapata kipato kizuri tu.

Karibuni Kilombero/Ulanga kwa wale wanaotafuta mitaji na nafuu ya gharama za maisha.

Watu qa daslam poleni sana.
Mkuu we upo uko me nataka kulima tikiti lkn cjui pa kulima
 
Serious kwa mtu anayetaka kupata mtaji na kujiinua kiuchumi hasa kwa kujiajiri mwenyewe aje Morogoro. Wilaya za kilombero na Ulanga. Shughuli kubwa ni kilimo.

Gharama za uendeshaji za maisha kwa kila siku ni ndogo kila mtu anazimudu. Nyumba za kupangisha ni bei rahisi. Huduma za kijamii shule, hospitali na maji vinapatikana.

Kwa mtaji mdogo wa hata Tsh 200000 unaweza kuendesha shughuli ya biashara na ukapata kipato kizuri tu.

Karibuni Kilombero/Ulanga kwa wale wanaotafuta mitaji na nafuu ya gharama za maisha.

Watu qa daslam poleni sana.

Shukrani kwa majibu mazuri yenye kutia moyo.
Huko kwenu mashamba yanapatikana kwa ajili ya kukodishwa?
 
Serious kwa mtu anayetaka kupata mtaji na kujiinua kiuchumi hasa kwa kujiajiri mwenyewe aje Morogoro. Wilaya za kilombero na Ulanga. Shughuli kubwa ni kilimo.

Gharama za uendeshaji za maisha kwa kila siku ni ndogo kila mtu anazimudu. Nyumba za kupangisha ni bei rahisi. Huduma za kijamii shule, hospitali na maji vinapatikana.

Kwa mtaji mdogo wa hata Tsh 200000 unaweza kuendesha shughuli ya biashara na ukapata kipato kizuri tu.

Karibuni Kilombero/Ulanga kwa wale wanaotafuta mitaji na nafuu ya gharama za maisha.

Watu qa daslam poleni sana.
Mkuu vyumba vya kupanga ni shingapi hapo?
 
Me Naona Kwa Dar Ni Rahisi Sana Ukikwama hata Sidiria za Mtumba Utauza Na Wateja Wapo Kwa Dar Biashara Za Kawaida Unaweza Ukatengeneza Pesa Ndefu Kwa Siku

Assume Biashara ya Kiepe Mtu Anapata faida ya 50 kwa Siku Dar Mzunguko wa Pesa Ni Mkubwa Mno
Toa fixed & variable costs kama hajabakisha elf 10. Usidanganye watu.
 
Serious kwa mtu anayetaka kupata mtaji na kujiinua kiuchumi hasa kwa kujiajiri mwenyewe aje Morogoro. Wilaya za kilombero na Ulanga. Shughuli kubwa ni kilimo.

Gharama za uendeshaji za maisha kwa kila siku ni ndogo kila mtu anazimudu. Nyumba za kupangisha ni bei rahisi. Huduma za kijamii shule, hospitali na maji vinapatikana.

Kwa mtaji mdogo wa hata Tsh 200000 unaweza kuendesha shughuli ya biashara na ukapata kipato kizuri tu.

Karibuni Kilombero/Ulanga kwa wale wanaotafuta mitaji na nafuu ya gharama za maisha.

Watu qa daslam poleni sana.
Naomba nikupm km hutojali et
 
Hata dar huku kigamboni matikiti yanakubali ila sema inatakiwa ujue ni mda gani mzuri wa kuyapanda.Maana mwaka huu watu wamekula hasara sana kwa sababu wazalishaji walipanda wakati mmoja yakaiva kwa pamoja soko likawa ni changamoto
 
Hekar moja inacost shngap ad kuvuna...na je mavuno in gunia ngap kwa heka?? Na being ya gunia mcmu wa mavuno shngp??
Aisee inategemea. Kwanza unaitaji kufanya analyse na kujua jiografia ya eneo utakalolima. Sababu kuna sehemu kunakuwa na maji mengi na sehemu nyingine maji ya kawaida.

Kukodi shs 70k
Kulima shs 40k
Kulima tena 40k
Kupanda kwa maana ya kumwaga 40k
Mbegu bora kg20 @ 1500
Dawa ya kuulia magugu lt shs 12000
Dawa 24D shs 12000
Mbolea 25kg 25000
Palizi 40k
Kuvuna 50k
Kupiga @ gunia 4000
Sasa kipato kinategemea na ulivyotunza shamba lako.

Kitaalam ni gunia 15-17 zenye kutoa kg 100 za mchele.
Note: hii kazi si rahisi. Inabidi ukomae
 
Back
Top Bottom