Niliandika hivi unaweza ukawa unazani una right point then ikawa wrong point kwa kutumia biblia hiyo hiyo ndio maana nikaandika hivi biblia mda mwingine iko wazi lakini mda mwingine haiko wazi na ichanganya mambo nikakuuliza swali je yesu alikuja kuitimiliza torati ama hakuja kuitimiliza torati ? ukanijibu jibu ninalo ukaonesha pia na kifungu cha biblia bila shaka ni jibu sahihi,lakini je hujui Bible hiyo hiyo inatengua kifungu ulichokiandika hapo juu ama hujui ,bila shaka nataka kukuambia unaposoma neno la mungu jaribu kusoma ili kupata uwelewa sio kutafuta maandishi ama mistari na vifungu vya kuja kuikosoa dini ya Roman CatholicWewe funga,kamwe huwezi kuzuia ukweli wa Neno la Mungu.
Hawa jamaa watakuja tuu....!ila wanatakiwa kutambua in vgumu kulisambaratisha Kanisa Katoliki...,babu zao walishindwa....!Tumesha Funga mhadala huu....
Mi naona huyo mzee hapo ndio kalaaniwaUmelaaniwa kama Mtume wako Mohammed
Kanisa katoliki litasambaratishwa na Yesu mwenyewe, atakapokuja.Tubuni msije mkaangamia pamoja na kanisa hili lililoasi. "Hapo ndipo atakapofunuliwa yule asi,ambaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake, na kumwangamiza kwa ufunuo wa kuwapo kwake." (2Wathesalonike 2:8)Hawa jamaa watakuja tuu....!ila wanatakiwa kutambua in vgumu kulisambaratisha Kanisa Katoliki...,babu zao walishindwa....!
Eklesia..what is kanisa in kiebrania?
Hamuwezi kupinga ukweli kuwa Kanisa Katoliki na papa wenu ndio mnyama wa ufunuo 13 na 14. Pia ndiye Kahaba Mkuu wa ufunuo 17:5.Anaitwa Kahaba mkuu kwa kupotosha Biblia Takatifu, wamejiundia Biblia yao imeongezwa maneno na vitabu visivyovuviwa na Roho Mtakatifu.Kanisa hili limehusika kutesa watakatifu na hivi karibuni litaibuka tena kupitia New World Order. Kanisa katoliki limejipa uhalali wa kuwa msemaji wa Mungu hapa duniani (kufuru). Kwa uzushi huo, wakisaidiwa na mataifa makubwa ikiwemo Marekani, watalazimisha dunia nzima wafuate mafundisho ya kiroma ikiwemo ibada ya siku ya kwanza ya juma yaani jumapili ambayo iliasisiwa na kanisa katoliki.Mtu awaye yote atakayekataa kutii sheria ya jumapili amri itatolewa auawe (Ufunuo 13:15-18). Daniel aliiliona hili anasema " kutatokea wakati wa taabu ambao mfano wake haujakuwepo tangu kuumbwa kwa dunia, lakini watu wa Mungu wataokolewa (Daniel 12:1). Yesu anasema " mwenye kuvumilia hata mwisho ndiye atakayeokoka" (Mathayo 24:13).
Mkuu afadhali umeliona hili mapema.Tunayoongea humu ni Kile Biblia ilisema kitatokea.Wengi wataangamia kwa ubishi, Mungu atusaidie.
Na magoli mmewafunga, teh teh . . .Tumesha Funga mhadala huu....
Nmesoma kitabu kimoja kinaitwa Mnyama, Joka na Mwanamke au The Beast, the Dragon and the Woman kwa kiingerenza unaweza ukagoogle majina hayo na link ya kwanza kabisa kitakuja kitabu hicho. Ni kitabu kizuri na kitu ambacho nikikipenda zaidi reference ya kitabu hiki ni biblia takatifu. Nilichojifunza kutoka katika kitabu hiki ni kwamba kuna uhusiano wa baadhi ya vitabu vya biblia(Danieli na Ufunuo) na uhalisia wa maisha halisi ya mwanadamu katika mambo ambayo yakitokea miaka ya nyuma na yalikuwa revealed katika bible...... wameielezea hii system ya Upapa vizuri sana na kama mtu akiweka mapenzi yake kwa kanisa katoliki pembeni basi ni lazima ataelewa vizuri kabisa ni nn kimezungumziwa katika kitabu hiki. Nilichokiona katika picha hiyo ya donald trump kimezungumzwa dhahiri kabisa katika kitabu hicho. Sijajua kwamba kitabu hiki ni lini kilitolewa lkn mm tangu nmekisoma ni miaka mitano imepita na leo ndio nakuja kuliona hili la bwana Trump.Kitu kikubwa ambacho naamini kwamba watu wengi tunakikosea ni kuamnini kwamba tupo upande sahihi sana na kukataa kuangalia upande wa pili kuona pia kwa wenzetu kuna nn. Binafsi huwa nashindwa kujua ni kwann waroma waliamua kuiondoa amri ya sabato tena ni amri ambayo imetolewa ufafanuzi kwa maelezo mazito ukilinganisha na amri zingine na pia Mungu akaja akakazia kwamba Sabato ni agano la milele, lkn ndio hiyo imeondolewa na ukiwasikiliza sababu zao za kwamba ni kwann wamefanga hivo.... majibu yao yote yanakuja ku lie kwenye mapokeo hakuna jibu watakalokupa kutoka kwenye maandiko matakatifu... Na ni dhahiri Mungu alikataza mapokeo( Marko 7:1-16).... Mtu akiwa na masikio ya kusikia na asikie.
Huu mjadala tulishaufunga tayari...inaelekea unakichwa kigumu sana wewe.....wameielezea hii system ya Upapa vizuri sana na kama mtu akiweka mapenzi y
Mkuu, sio kweli Petro ni jiwe na sio mwamba.Petero=mwamba
kefa=mwamba
hayo majina mawili ni nickname za simione,
neno kanisa ama church kipindi kile halikuwepo,sasa sijui yesu alitumia neno lipi wakati akimweleza petro kuwa yeye ndio mwamba na kanisa litajengwa juu yake,
what is kanisa in kiebrania?
Na hata angekuwa hai bado haiwapi sababu ya kuomba kupitia yeye since Yesu alisema Imempasa yeyote aombaye kuomba kwa kupitia jina lake yesu tu...yeye ni njia na ukweliDuh kaaazi kweli kweli hapo ndo mlipo mpa cheo binadamu mwenzenu awe mwombezi. mmesahau kwamba mariam na yeye ni binadamu kama niniyi na alishakufa anasubiri ufufuo siku ya mwisho.. sasa sijui nani kawadanganya kwamba maria yuko hai...... Au ni katika kitabu gani kimemtaja Mariam Kwamba yi hai ambapo anaweza kusikia maombi yenu
Mkuu kumbe roho humrudia muumba...tuanzie hapo..Roho ni nini?Rejea Kitabu cha Mhubiri 7:12
Nayo mwili hurudi mavumbini ulikotoka nayo Roho kumrudia Mungu aliyeitoa .....
Roho haifi kamwe...
Soma ufunuo 5:8 uone Watakatifu wanafanya kazi gani mbinguni..
Alizaa watoto wengine baada ya YESUKwani huyo dada ndio alibaki bikra hadi kufa
Nilishafunga mjadala......Mkuu kumbe roho humrudia muumba...tuanzie hapo..Roho ni nini?