HahaaaaaUmenikumbusha chaliangu mmoko 2016 pale Arusha Sec.Chalii anaitwa Danny tulikua tunashindana tunachora mstari chini atakaerusha mbali au atakaewahi kumwaga ndo mshindi,Uyo chalii(Danny)alikua anatumia mfuko wa Rambo mweusi kama kilainishi,Babaako tulikua tunakiamsha ilikua mkimshinda anajitetea eti Porno yenyewe na asubuhi kaiona ndomaana tumemshinda..