Dcxkobe
Member
- Mar 5, 2023
- 57
- 136
Habar ndugu zangu,
Nimepiga punyeto kwa muda mrefu Sana nilianza 2009 Kama utani ilipofka2013 ndio nikaaza kuona madhara makubwa mwili ukadhoofu sana halafu nikawa mzito kuelewa yaani nakuwa kama zoba fulani mwili masaa yote umechoka ni nikawa napenda kulala tu.
Mpaka sasa hivi hali ni mbaya nina miaka 29 lakini niko kama mzee wa miaka 70 yaani uwezo wa kujiamini kujichaganya na watu Sina nishakuwa mtu wa kushinda nyumbani tu kwa wazazi, natamani kuwa na mpenzi anisaidie kuacha lakini kwa bahati mbaya sio wa kukubali kuwa na Mimi
Inaniumiza sana madhara makubwa niliyopata
1. Nimewahi kuzeeka
2. Nishaharibu mishipa ya fahamu nimekuwa mtu wa kujitenga na jamiii yaani niko kama mtu mwenye ugonjwa wa usonji
Najua humu kuna watu tofauti tofauti kama kuna mtu ambae atakuwa tayari kunisaidia hata kwa kunikutanisha na watalamu mimi nipo tayari
Mateso nayopitia ni makubwa sana, hapa nilipo sina uwezo wa kuongea na mtu nikaelewa yaani mishipa ya fahamu haiko vizuri kama imeleta tatzo hadi kwenye usikivu wa masikio
Ni hayo tu.
Nimepiga punyeto kwa muda mrefu Sana nilianza 2009 Kama utani ilipofka2013 ndio nikaaza kuona madhara makubwa mwili ukadhoofu sana halafu nikawa mzito kuelewa yaani nakuwa kama zoba fulani mwili masaa yote umechoka ni nikawa napenda kulala tu.
Mpaka sasa hivi hali ni mbaya nina miaka 29 lakini niko kama mzee wa miaka 70 yaani uwezo wa kujiamini kujichaganya na watu Sina nishakuwa mtu wa kushinda nyumbani tu kwa wazazi, natamani kuwa na mpenzi anisaidie kuacha lakini kwa bahati mbaya sio wa kukubali kuwa na Mimi
Inaniumiza sana madhara makubwa niliyopata
1. Nimewahi kuzeeka
2. Nishaharibu mishipa ya fahamu nimekuwa mtu wa kujitenga na jamiii yaani niko kama mtu mwenye ugonjwa wa usonji
Najua humu kuna watu tofauti tofauti kama kuna mtu ambae atakuwa tayari kunisaidia hata kwa kunikutanisha na watalamu mimi nipo tayari
Mateso nayopitia ni makubwa sana, hapa nilipo sina uwezo wa kuongea na mtu nikaelewa yaani mishipa ya fahamu haiko vizuri kama imeleta tatzo hadi kwenye usikivu wa masikio
Ni hayo tu.