Leo hujalipua nyeto kwelAlihamdulillah uboh unazid kuimarika siku hadi siku
Leo hujalipua nyeto kwelAlihamdulillah uboh unazid kuimarika siku hadi siku
Acha kuangalia pono na owa!Kichwa cha habari chahusika. Kutokana na uhaba wa pesa nimegundua mbinu rahisi ya kujiridhisha kimapenzi (pasipo gharama wala hofu ya magonjwa nyemelezi). Ila nimekuwa addicted kiasi haipiti siku bila kujichua. Nifanyeje ili niache?
Fanya mazoezi ya viungo Mara 2 kwa siku, jogging au ruka kamba, acha kuangalia video chafu za ngono au vishawishi. Hope utafanikiwa. Hiyo kitu ina madhara makubwa sanaKichwa cha habari chahusika. Kutokana na uhaba wa pesa nimegundua mbinu rahisi ya kujiridhisha kimapenzi (pasipo gharama wala hofu ya magonjwa nyemelezi). Ila nimekuwa addicted kiasi haipiti siku bila kujichua. Nifanyeje ili niache?
Suluisho tafuta demu tuuuu, waweza pata asie chuna sana, tongoza ovyo ovyo bila kujal kukataliwa, ukipata demu huto piga nyeto,Kichwa cha habari chahusika. Kutokana na uhaba wa pesa nimegundua mbinu rahisi ya kujiridhisha kimapenzi (pasipo gharama wala hofu ya magonjwa nyemelezi). Ila nimekuwa addicted kiasi haipiti siku bila kujichua. Nifanyeje ili niache?
Ni kweli nime-delete mipicha yote ya ovyoJaribu kutokaa bila kufanya chochote, delete site zote za porno halaf tafuta mwanamke wa karibu
Usikimbie chama mzee..Ni kweli nime-delete mipicha yote ya ovyo
Anasalitije chama kizembe mzeeUsikimbie chama mzee..
Kwa hiyo chaputa kwa Sasa inapitia kipindi hatari wanachama wake waandamizi wananunuliwa.tuna makundi mawili lipo kundi la chaputa forever hao sisi mpaka tudedi
Wakuu mi nlianza Nyeto 2005 hadi Leo napiga ila nataka kuacha ,hapa nna kama siku 3 sijapiga nafikiri huu ni mwanzo nzuri wa kuacha
Kuchua dushe kwa vitunguu swaumu?! Si itawasha?! Hii itakuwa adhabu sasa!
nlifaulu kukaza miaka miwil bila nyeto nkaja piga moja la kushtua mitambo yan ndo mpaka leo nawakilisha chama
Nioneshe kijana wa 29-45 ambaye hajapiga punyeto nami nitakuonyesha wajerumani walipoficha rupia
Aha ha haaaa! Mi nilikaa Miaka 6 ila leo napiga cha wizi japo nipo kwenye ndoa,siku tatu tuu unajisifia? Kuna wenzio wanamaliza mwaka na wanarudi sembuse three days?
Ha ha ha nimecheka sana aseeJana nimejiripua kimoja kwenye saa kumi na moja alfajiri than kwenye saa tatu asubuhi nikaingia uwanjani kupiga mazoezi ya mpira wa miguu, aisee miguu ilikuwa inagongana yenyewe nikatoka uwanjani