PERAMIHO YETU
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 6,289
- 17,316
Wakuu naomba mjadala huu usiegemee upande wowote wa siasa au dini naomba ujikite kwenye hoja
Naomba kujua gesi inayochimbwa Tanzania ni mali ya nani?
Kama n Mali ya watanzania mbona
Gharama ya gesi ya kupikia majumbani ipo juu Sana haileti uhalisia Kama inamikiwa na watanzania
Mbona gharama za umeme zinazidi kupanda lakini bado gesi hiyo inataka ipelekwe Kenya je hapa Tanzania imefika kila mkoa wilaya na vijiji?
Mbona umeme unakatika katika huku tukiambiwa kina Cha maji kimepungua katika mabwawa yetu, mbona gesi haizungumziwi kuwa nayo imepungua au vipi?
Wakuu karibuni kwa mjadala huru
Naomba kujua gesi inayochimbwa Tanzania ni mali ya nani?
Kama n Mali ya watanzania mbona
Gharama ya gesi ya kupikia majumbani ipo juu Sana haileti uhalisia Kama inamikiwa na watanzania
Mbona gharama za umeme zinazidi kupanda lakini bado gesi hiyo inataka ipelekwe Kenya je hapa Tanzania imefika kila mkoa wilaya na vijiji?
Mbona umeme unakatika katika huku tukiambiwa kina Cha maji kimepungua katika mabwawa yetu, mbona gesi haizungumziwi kuwa nayo imepungua au vipi?
Wakuu karibuni kwa mjadala huru