Mjadala: Basi kubwa na pikipiki vikitembea vyote kwa 120km/hr nani atatangulia?

Usijidanganye ndugu, weka physics kando tumia uzoefu wa safari za mikoani, yutong au zhongton huwez isimamisha hata na gari ndogo kwa speed hio hio,, utaikuta yutong ilishashusha abiria siku nyingi na hakuna dalili kama ilkua safari!
Speed 120 ya basi ni sawa na speed 180 ya gari ndogo sembuse pikipiki??!
Ukiweka UNIT ya km hapo umemaliza mchezo wote
 
Nomba wataalamu mnitoe tongotongo, ikitokea basi la mkoa na pikipiki aina yeyote vikatembea speed moja ya 120km/hr na pasipo kizuizi cha aina yeyote njiani ( Take every thing is constant) .

KATI YA BASI NA PIKIPIKI NANI ATATANGULIA KUFIKA?

Naombeni wataalam mtusaidie hapa.
Speed ni speed iwe ya pikipiki au gari. Jibu ni kwamba watafika mda mmoja. Pikipiki rpm ya injini itatakiwa kuwa kubwa kwa vile injini ni ndogo. Kama mwendo utakuwa mrefu pikipiki itafail. Lakini pia hapa kuna swala la momentum (massXvelocity) na force F (massXaccn) inayotummika kuvisukuma. Kama wataanza pamoja na umbali ukawa mfupi, pikipiki itawahi kifikia 120 kabla ya basi na kuweza kuitangulia basi
 
Hapo ishu nzima ni momentum. "What is momentum", Momentum is the product of mass and velocity. au unaweza ukasema momentum is mass in motion.kwamba kila chenye mass kinapokuwa kwenye motion hapo tunasema kina momentum,sasa tukirudi kwenye swalo lako.pikipiki labda ina mass ya 120kg na Hilo basi lina mass ya 1500kg.sasa Kama nilivyosema kwamba momentum ni product ya mass and velocity.sasa tuanze na pikipiki.

120 km/hr ×120kg=14,400kgm/s

Haya tuje kwenye basi

120km/hr × 1500kg=180,000kgm/s

Kwahiyo ina maana kwamba basi ndo lina momentum kubwa kushinda pikipiki hivyo basi lazima litangulie.
 
Basi itawahi kufika, hii ni kutokana na tairi ya Basi kuwa kubwa ukilinganisha na ya pikipiki, hivyo mzunguko wa tairi ya basi unachukua umbali mkubwa ukilinganisha na wa pikipiki.
 
Kwa sababu kipimo ni umbali kwa muda. Mlipe dereva wa lori aende km 80 kwa 120/hr; halafu na bodaboda nayo iende umbali ule ule kwa speed hiyo hiyo halafu angalia muda watakaotumia.

Ila issue nyingine ni power ya gari hasa kwenye acceleration na uzito wake kwenye kushika chini, na ubora wa matairi kama sio kipara na unene wake.
 
Basi itawahi kufika, hii ni kutokana na tairi ya Basi kuwa kubwa ukilinganisha na ya pikipiki, hivyo mzunguko wa tairi ya basi unachukua umbali mkubwa ukilinganisha na wa pikipiki.

Rotation speed ya tairi ya basi na pikipiki yaweza kuwa tofauti yaani diameter ndogo speed kubwa.
 
Hapo ishu nzima ni momentum. "What is momentum", Momentum is the product of mass and velocity. au unaweza ukasema momentum is mass in motion.kwamba kila chenye mass kinapokuwa kwenye motion hapo tunasema kina momentum,sasa tukirudi kwenye swalo lako.pikipiki labda ina mass ya 120kg na Hilo basi lina mass ya 1500kg.sasa Kama nilivyosema kwamba momentum ni product ya mass and velocity.sasa tuanze na pikipiki.

120 km/hr ×120kg=14,400kgm/s

Haya tuje kwenye basi

120km/hr × 1500kg=180,000kgm/s

Kwahiyo ina maana kwamba basi ndo lina momentum kubwa kushinda pikipiki hivyo basi lazima litangulie.

Speed ni speed iwe ya pikipiki au gari. Jibu ni kwamba watafika mda mmoja. Pikipiki rpm ya injini itatakiwa kuwa kubwa kwa vile injini ni ndogo. Kama mwendo utakuwa mrefu pikipiki itafail. Lakini pia hapa kuna swala la momentum (massXvelocity) na force F (massXaccn) inayotummika kuvisukuma. Kama wataanza pamoja na umbali ukawa mfupi, pikipiki itawahi kifikia 120 kabla ya basi na kuweza kuitangulia basi
 
Hapo ishu nzima ni momentum. "What is momentum", Momentum is the product of mass and velocity. au unaweza ukasema momentum is mass in motion.kwamba kila chenye mass kinapokuwa kwenye motion hapo tunasema kina momentum,sasa tukirudi kwenye swalo lako.pikipiki labda ina mass ya 120kg na Hilo basi lina mass ya 1500kg.sasa Kama nilivyosema kwamba momentum ni product ya mass and velocity.sasa tuanze na pikipiki.

120 km/hr ×120kg=14,400kgm/s

Haya tuje kwenye basi

120km/hr × 1500kg=180,000kgm/s

Kwahiyo ina maana kwamba basi ndo lina momentum kubwa kushinda pikipiki hivyo basi lazima litangulie.
Siyo kweli
 
Mkuu.....
Ebu acha kutuchanganya aiseeee.....
Kwani tochi hua zina pima nini kwenye gari ili kupata mwendo kasi sahihi ya chombo barabarani?

My point is, speed ya 120km/hr ya pikipiki na ya basi ni sawa.

Zile tochi hazijatofautisha speed ya basi au bajaji. zinachongalia ni zile units i.e km/hr.
 
Sio kweli kaka,refer ile picha ya tochi iliyopigwa city boy kabla ya ajari ilikuwa imezidi 120km/hr lakini speedometer ya mabasi ya mwisho inaonyesha 120km/hr. Vilevile hata barabarani kama umeshawahi kimbizana na basi utaona kabisa speed yako inaenda 150km/hr lakini basi linakuchapa kama umesimama wakati speed ya mwisho kwenye basi ni 120km/hr. Mawazo yangu yananituma tuweke factor ya radius ya tairi na nguvu yakuzungusha tairi(physics A level topic ya mechanics inaweza toa mwanga kwenye hili) kwasababu sisi binadamu tuna ona linear motion wakati huo tairi inakuwa iko katika rotation motion.
Hili ndilo jibu mubashara
 
mkuu swali lako alijakamilika kwa sababu ujasema kama zitaanza safari mda mmojo au tofauti. Speed maana yake ni umbali gawanya kwa muda. Kwa mfano umbali wa kutoka arusha to dar ni km600, basi litatumia masaa matano na pikipki itatumia masaa matano. Sasa kama zimeondoka mda mmoja hakuna itakayotangulia, ila kama basi lilitangulia kuondoka kwa saa moja ivyo litatangulia kufika kwa saa moja, na ivyoivyo kwa pikipiki. NAZANI NIMEMALIZA
mkuu...
wewe ndie hauja elewa swali kabisaaa.....
Alafu unajifanya eti umeelewa..
 
Nomba wataalamu mnitoe tongotongo, ikitokea basi la mkoa na pikipiki aina yeyote vikatembea speed moja ya 120km/hr na pasipo kizuizi cha aina yeyote njiani ( Take every thing is constant) .

KATI YA BASI NA PIKIPIKI NANI ATATANGULIA KUFIKA?

Naombeni wataalam mtusaidie hapa.


Anachoendesha mjombako katika hivyo ndicho kitatangulia.
 
Sio kweli kaka,refer ile picha ya tochi iliyopigwa city boy kabla ya ajari ilikuwa imezidi 120km/hr lakini speedometer ya mabasi ya mwisho inaonyesha 120km/hr. Vilevile hata barabarani kama umeshawahi kimbizana na basi utaona kabisa speed yako inaenda 150km/hr lakini basi linakuchapa kama umesimama wakati speed ya mwisho kwenye basi ni 120km/hr. Mawazo yangu yananituma tuweke factor ya radius ya tairi na nguvu yakuzungusha tairi(physics A level topic ya mechanics inaweza toa mwanga kwenye hili) kwasababu sisi binadamu tuna ona linear motion wakati huo tairi inakuwa iko katika rotation motion.


Wacha porojo wewe, 120km/h iwe ya baiskeli, toroli, nyonga, pikipiki au basi, inabaki kuwa ileile.
 
hiv hizo factors zingine mnazotaka kuziinclude zinatoka wapi wakat muuliza swali kesha panga urefu utakao kwenda ambao ni 120km na muda kasema 1hr? jibu rahis tu vitafika pamoja sbb distance ni hile hile na muda ni ule ule ambao wote scania, pikipiki hata baiskeli wangefika pamoja as long as unaweza kuendesha baiskeli kwa spid na muda huo uliopangwa na muuliza swali. ukisha limit spid na muda hakuna ujanja wa mmoja wapo kumpita mwengine mtaenda sawa tu ila ukiruhusu kila kimoja kitembee kinavyota utaona balaa!!!
Comment yako, aibu yangu...
 
My point is, speed ya 120km/hr ya pikipiki na ya basi ni sawa.

Zile tochi hazijatofautisha speed ya basi au bajaji. zinachongalia ni zile units i.e km/hr.
Namimi ndio nakuuliza kwamba.....
Ile speed gun inaelekezwa kwenye nini wakati chombo kinapo kimbia?
Yaani tochi inaelekezwa kwenye kioo, body ya gari, kwa dereva, mlangoni, kwenye tairi, kwenye injili, kwenye taa, ama wapi?
 
Back
Top Bottom