Mizinga ya demu imeua ndugu wawili

Mizinga ya demu imeua ndugu wawili

Pole sana, but inaonekana we ni mbahili ndio maana alikuwa anatumia mbinu za kuua ndugu zake..lol!
Any way siwezi ku-conclude kwa wanawake wote, lakini kwa ujumla wake naweza kusema hawaridhiki na hawana shukrani.
 
Hapana siyo member wa JF@ICHANA
 
hebu weka namba yake tumpe vipande vyake laivu
 
kupata darasa si lazima uingie shule hata mtaani madarasa yapo
 
daaaaaaaa jaman wanawake tunajiharibia sisi wenyewe
 
Duh! Pole sana,umekuwa mbahili sana ndo maana ikabidi abuni mbinu mpya.
 
loh! kwa hiyo na wewe ulikuwa unakata pochi tu bila utafiti?!! kweli ulikamatika.
 
Back
Top Bottom