Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
sasa unashtuka nini? wakati nimekwambia biashara tu aisee its enough for me other issue hapana
hahahahahahaha una mbinu hatariiii
sasa unashtuka nini? wakati nimekwambia biashara tu aisee its enough for me other issue hapana
Mwingine anakuambia nina mimba yako na sijajianda kulea nipe hela ya kulitoa
hahahahahahaha una mbinu hatariiii
Shost naona unakamata fursaaaa!
ukiwa maskini hapo tena ni balaaa
hahaha umeona eeeh
hapo hakuna shida kwani majani ya chai na koka bei gani?