Kuchitimbo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 364
- 279
Ajira zipo ila Ni kwa watu wachache,Sina imani Kama watoto wa viongozi na vigogo wa chama chetu pendwa Kama Ni wahanga wa ajira pia
Kuna siku nilinunua juice ya embe iko kwenye chupa, ughaibuni.Mapoli, Ardhi yenye rutuba, ardhi yenye madini chini, mito, maziwa, bahari, mbuga za wanyama nk hivi vyote vinahitaji fikra pana ili kutanua uwanja na mwisho kutoa mamilioni ya ajira..
Mifuko ya hifadhi ya jamii inunue meli za uvuvi bahari kuu, izikodishe kwa private companies, ijenge viwanda vya kuprocess samaki ivikodishe kwa private companies, samaki fresh and processed wauzwe worldwide as Tanzania product..
Serikali kupitia wizara ya viwanda na biashara itafute wawekezaji wajenge viwanda vya juice vikubwa Tanga na Pwani, wananchi wawezeshwe walime kibepari kufeed hivyo viwanda through out the year..the same to mbogamboga, maua nk..
Vitu vingi sana aisee Serikali inaweza kuvipromote na kusimamia na uwanja ukawa mkubwa kiasi cha kutengeneza mamilioni ya ajira..
Sema mwafrika hawezi kumuongoza mwafrika mwenzake bila mwongozo wa mzungu.Mwafrika aendi bila kiboko mfumo sahihi ni ubepari ndo uwezao mlazimisha kufanya kazi na sio ujamaa ulilaza akili za wengi kila kitu bure akili ulala
Lakini mzingira ya biashara siyo mazuri kutokana na sera ambazo hazidumu sera za majukwaani(nyuma ya mikamera) ni tatizo 'policy uncertanity' or regime uncertaintyWaziri Mkuu mstaafu Mzee Mizengo Pinda ameishauri serikali kubadili mfumo wa elimu ili wanafunzi wajikite katika stadi za ufundi na ujasiriamali.
Mzee Pinda ametahadharisha kuwa siyo vema watoto wakaendelea kudanganywa kuwa kuna ajira wakati kiuhalisia ajira ni chache sana.
Pinda alikuwa anafunga kongamano la wawekezaji mkoani Songwe.
Chanzo: ITV habari
My take: Nimeupenda ukweli wa Pinda, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!
johnthebaptist,
Huyo mzee anachekesha ile mbaya, hakuna ajira huku yeye anajipendekeza kwa Magufuli kila siku ili apewe ulaji na serikali. Atuonyeshe watoto wake na wajukuu wanafanya wapi kazi ili tuone kama wamejiajiri.
Jk alijitahidi angalau kupunguza ila awamu ya kukaza vyuma ni sawa na kiwanda cha kuzalisha umasikiniSerikali haiwezi kukwepa lawama ya kukosa ubunifu wa kutengeneza ajira. Kuwasukumia vijana kwenye ujasiliamali na kujiajiri hakutaweza kukidhi mahitaji ya wananchi kwani fursa zenyewe ni chache.
Huwezi ona madhaifu ya uchezaji wako ni hadi utoke uwanjaniAlipokuwa ndani ya madaraka hakuliona hilo, Sasa yupo nje ya uwanja ng'o ng'o.
Vyuma vimewakazia Wamebaki kuimba mapambio hawawezi ishi nje ya kubebwaAlbert Einstein alisema kuwa "We cannot solve our problems with the same thinking we used when we created them"
Mizengo Pinda ni sehemu ya tatizo, hana haki ya kuwa sehemu ya majawabu ya unemployment. Halafu kutwa kulamba viatu vya JPM ili ampe ulaji kwa njia ya trip na uwenyekiti wa Bodi.
Wakiwa kwenye mfumo ujiona wanajua kila kitu
Solution yake yeye ni kubadlishwa kwa mfumo wa elimu ambao utamjenga mwanafunz kujitegemea yey kam yey katka ishu za ajiraMwambieni Mzee Pinda atoe solution na sio kupiga blah blah, kama mtu aliyewahi kuwa kiongozi mkubwa anapaswa kufikiri mara 1000 ya hapo aje na solution anayoweza hata kushauri taasisi za maamuzi..Tanzania bado haijawa nchi yakuwa na tatizo la ajira watu wasikimbie majukumi wafikiri na kuzitengeneza hizo ajira..
Angemalizia kuwa zilizopo ni kwa ajili ya WATOTO WETU TU.Waziri Mkuu mstaafu Mzee Mizengo Pinda ameishauri serikali kubadili mfumo wa elimu ili wanafunzi wajikite katika stadi za ufundi na ujasiriamali.
Mzee Pinda ametahadharisha kuwa siyo vema watoto wakaendelea kudanganywa kuwa kuna ajira wakati kiuhalisia ajira ni chache sana.
Pinda alikuwa anafunga kongamano la wawekezaji mkoani Songwe.
Chanzo: ITV habari
My take: Nimeupenda ukweli wa Pinda, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!
Wana akili za aina hii sasa? Wao wanachojua ili waendelee kutawala inabidi wanunuwe wapinzaniMapoli, Ardhi yenye rutuba, ardhi yenye madini chini, mito, maziwa, bahari, mbuga za wanyama nk hivi vyote vinahitaji fikra pana ili kutanua uwanja na mwisho kutoa mamilioni ya ajira..
Mifuko ya hifadhi ya jamii inunue meli za uvuvi bahari kuu, izikodishe kwa private companies, ijenge viwanda vya kuprocess samaki ivikodishe kwa private companies, samaki fresh and processed wauzwe worldwide as Tanzania product..
Serikali kupitia wizara ya viwanda na biashara itafute wawekezaji wajenge viwanda vya juice vikubwa Tanga na Pwani, wananchi wawezeshwe walime kibepari kufeed hivyo viwanda through out the year..the same to mbogamboga, maua nk..
Vitu vingi sana aisee Serikali inaweza kuvipromote na kusimamia na uwanja ukawa mkubwa kiasi cha kutengeneza mamilioni ya ajira..
Siyo kweliAjira zipo tu sema ni unafiki wa waheshimiwa.