mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Mzee mbona na wewe ulikuwa humo Serikalini mbona hukufanya hivyo?Mwambieni Mzee Pinda atoe solution na sio kupiga blah blah, kama mtu aliyewahi kuwa kiongozi mkubwa anapaswa kufikiri mara 1000 ya hapo aje na solution anayoweza hata kushauri taasisi za maamuzi..Tanzania bado haijawa nchi yakuwa na tatizo la ajira watu wasikimbie majukumi wafikiri na kuzitengeneza hizo ajira..
Sent using Jamii Forums mobile app