Unafiki wa Wanasiasa na Viongozi kwenye Elimu, Ajira na Afya

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Aug 22, 2015
5,705
4,739
Moja kwa moja kwenye maada, kumekuwa na unafiki mwingi sana enzi na enzi kutoka kwa wanasiasa (ukiondoa enzi za awamu ya kwanza ya Julius), hawa jamaa huwa wanapanda jukwaani na kuandika na kusemea sana matatizo ya #thecommonmwananchi kinafki 120°

Mwanasiasa anahubiri elimu bora tena waweza kuta ni waziri wa elimu, naibu ama mwanasera, DC,RC, DED nk nk kuwa wanaboresha elimu na mazingira yake shule zetu za mtakatifu kayumba hizi na mifumo yake but yeye huyo huyo watoto wake na familia yake wanasoma saints schools, academia na nje Za nchi. Unafiki wa hali ya lami.

Njoo kwenye afya, hivyo hivyo bima za afya blah blah tumeboresha hospitali na vituo vya afya na vifaa tiba ila yeye na familia yake wakiugua hawaendi hizo hospital unless kwa dharula ila utawasikia saifee, aghakan,TmJ, nk nk unless Muhimbili VIP kama sio nje kabisa India, Nairobi na Ulaya Ujerumani. Bora hayati JPM alikataa katakata na mwendo wake aliumalizia hapa hapa. Unafiki tena mbig.


Ajira hivyo hivyo wanatupigania ila wao hawajiajiri kiuhalisia, na wanaatuambia tujiajir huku mazingira chanya hakuna kitaa, wanasema veta veta ila watoto wao hawawapeleki huko, wanawapigania kuwaingiza kwenye mfumo wa siasa na tender, wanasema boda boda ni ajira ila wao hawawashauri watoto wao waende huko, mama nitilie ni ajira ila wao hawana watoto wao huko same machingaz nk nk

Simple tu iwekwe sheria kama ni mtumishi mwandamizi wa umma sijui education minister, health bra bra your family na wewe should use local facilities uone kama elimu na afya huduma haizajapaaa. Yaani mkuu wa kitengo cha traffic anakaa mbweni ila kwenda posta jijini pale kazini anakuja asubuhi na king'ora akisafishiwa barabara na sweepers plus riders tena anapita against traffic kwenda kazini na kurudi hajui machungu ya foleni then unategemea akuondelee foleni? Penye we² unaamka saa 11 asubuhi yeye anaanza safari saa mbili kasoro. Foolishness!

Ifike pahala iwekwe sheria isiyosema kama wewe ni mwandamizi wa serikali adhere with local contents uone kama hatujapiga hatua.
 
Huyu mkuu wa polisi usumbufu anao tupa watu tunaotumia bagamoyo road sio kidogo!
Nashangaa pia makao makuu ya polisi bado yapo dar es laam!.

Yote ya yote siasa ni aina ya utapeli ulio halalishwa, siasa imehodhiaisha ya mwananchi na nchi yoyote kwa ujumla na yote ni kwa faida ya kundi kidogo cha watu tena ambao hawataki hata kupokezana.
 
Huyu mkuu wa polisi usumbufu anao tupa watu tunaotumia bagamoyo road sio kidogo!
Nashangaa pia makao makuu ya polisi bado yapo dar es laam!.

Yote ya yote siasa ni aina ya utapeli ulio halalishwa, siasa imehodhiaisha ya mwananchi na nchi yoyote kwa ujumla na yote ni kwa faida ya kundi kidogo cha watu tena ambao hawataki hata kupokezana.
Hahaaaaa! Pendaeli huyu jamaa mpya namjua sana na ni mstaarabu, kiukweli na yeye analichukia hilo ila sema tu ni protocol sema ananifurahisha msafara wake anaupoza hawana mbamba sana unarider ila zinaenda taratibu kufuata foleni, haendi against traffic , but utakuta tu polisi wa kawaidatraffics wana sufer kumsafishia njia, as long as ni boss wao! Ukitaka ukosamw na traffic mkute anasafisha njia msafara wa IGP, Waziri wa Mambo ya ndani plus Mkuuu wa nchi utajua hujui! sio kama yule waziri wa ulinzi aliyebadilishwa wizara, msafara wa mama yule haukua na huruma kama una ist yako inapeperushwa hukooooo.

All in all ni kero.
 
Hahaaaaa! Pendaeli huyu jamaa mpya namjua sana na ni mstaarabu, kiukweli na yeye analichukia hilo ila sema tu ni protocol sema ananifurahisha msafara wake anaupoza hawana mbamba sana unarider ila zinaenda taratibu kufuata foleni, haendi against traffic , but utakuta tu polisi wa kawaidatraffics wana sufer kumsafishia njia, as long as ni boss wao! Ukitaka ukosamw na traffic mkute anasafisha njia msafara wa IGP, Waziri wa Mambo ya ndani plus Mkuuu wa nchi utajua hujui! sio kama yule waziri wa ulinzi aliyebadilishwa wizara, msafara wa mama yule haukua na huruma kama una ist yako inapeperushwa hukooooo.

All in all ni kero.
Sure ni kero kwa kweli, japo msafara wake sio mkali kivile lakini una usumbufu wake, hata hivyo anaishi mbali sana na ofisi yake
 
Huyu mkuu wa polisi usumbufu anao tupa watu tunaotumia bagamoyo road sio kidogo!
Nashangaa pia makao makuu ya polisi bado yapo dar es laam!.

Yote ya yote siasa ni aina ya utapeli ulio halalishwa, siasa imehodhiaisha ya mwananchi na nchi yoyote kwa ujumla na yote ni kwa faida ya kundi kidogo cha watu tena ambao hawataki hata kupokezana.
Boko, Ununio, Mbweni na Bunju kuna waheshimiwa na senior citizens wastaafu wengi na haya ndio madhira yake.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom