kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Kulia bungeni, hakuna PM aliyewahi kufanya hivyo kabla yakeHivi Pinda ana rekodi gani ya kujivunia tangu awe PM?
Kulia bungeni, hakuna PM aliyewahi kufanya hivyo kabla yakeHivi Pinda ana rekodi gani ya kujivunia tangu awe PM?
Hili siyo suala la Waziri Mkuu asiye na nguvu; hili ni suala la Rais na CCM kama chama tawala; Madaktari wasikubali kugereshwa kwa maneno ni lazima Rais ndiye akutane nao na CCM ibadilishe sera zake kwenye hili suala.
Hivi Pinda ana rekodi gani ya kujivunia tangu awe PM?
msikimbilie kutoa majibu/kumjibia mwacheni Pinda ajibu kisha tumhukumu
kama kuna sehemu ambayo Pinda huwa anafanikiwa basi ni katika kunyamazisha mutiny (uasi). Hawa madaktari watamsikiliza tu, na sijui ni kwa nini
Hili siyo suala la Waziri Mkuu asiye na nguvu; hili ni suala la Rais na CCM kama chama tawala; Madaktari wasikubali kugereshwa kwa maneno ni lazima Rais ndiye akutane nao na CCM ibadilishe sera zake kwenye hili suala.
Kwanza kwa nini ajibu leo?
Lakini pia si walisema hakuna mgomo?! anyamaze tu basi kama alivyokuwa juzi na jana!!
Wamkatae huyu mleta porojo..maana hana jipya wangemtaka yule vasco da gama waongee nae na sio huyu asiye na meno "hadi rais atue"!!