Waziri Mkuu Mizengo Pinda ametangaza kuachia ngazi mara kipindi cha ubunge wake kitakapoisha mnamo mwaka 2015. Pinda amesema kazi yake ni ngumu na mara nyingi anashindwa hata kupata usingizi usiku, hivyo anawaachia wengine. Aidha amewaasa wote wanaokimbilia mbio za urais kwamba kazi hiyo siyo rahisi.
source: Pinda mwenyewe.
My take: 1. Good riddance.
2. Sijaona chochote cha maana alichofanya.
3. Jimbo hili litakua wazi kwa CHADEMA.
Source Pinda mwenyewe kasema wapi?
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ametangaza kuachia ngazi mara kipindi cha ubunge wake kitakapoisha mnamo mwaka 2015. Pinda amesema kazi yake ni ngumu na mara nyingi anashindwa hata kupata usingizi usiku, hivyo anawaachia wengine. Aidha amewaasa wote wanaokimbilia mbio za urais kwamba kazi hiyo siyo rahisi.
source: Pinda mwenyewe.
My take: 1. Good riddance.
2. Sijaona chochote cha maana alichofanya.
3. Jimbo hili litakua wazi kwa CHADEMA.
Baadaye atasema ameombwa na wapigakura wake kugombea
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ametangaza kuachia ngazi mara kipindi cha ubunge wake kitakapoisha mnamo mwaka 2015. Pinda amesema kazi yake ni ngumu na mara nyingi anashindwa hata kupata usingizi usiku, hivyo anawaachia wengine. Aidha amewaasa wote wanaokimbilia mbio za urais kwamba kazi hiyo siyo rahisi.
source: Pinda mwenyewe.
My take: 1. Good riddance.
2. Sijaona chochote cha maana alichofanya.
3. Jimbo hili litakua wazi kwa CHADEMA.
deutche welle
Anazungumzia ugumu wa kiti cha urais, kwani yeye ni rais?... Aidha amewaasa wote wanaokimbilia mbio za urais kwamba kazi hiyo siyo rahisi.
Natafuta kitu verbatim sijakiona, na si kwa kukosa jitihada. Habari kubwa hii mbona haipo mtandaoni?
Kama ni kweli atajionyesha tu kwamba hakujua anaingia katika uongozi kufanya nini, na kuonyesha kwamba ushauri wa Mkapa kumtaka abaki Ikulu ulikuwa mzuri, na kwamba Kikwete ni mpuuzi kwa kumchagua mtu anayependa usingizi kuliko kulitumikia taifa lake.
Lakini pia atafaa kupongezwa kwa kujua kwamba kazi hawezi na kuachia ngazi. Nilitaka kusema kujiuzulu kwa sasa atakuwa hawatendea haki wapiga kura wake, but then again Pinda hakupigiwa kura hata na mtu mmoja na technically si mbunge (Tanzania ina Waziri Mkuu ambaye ubunge wake haujaainishwa kikatiba!) kwa hiyo hata akijiuzulu sasa sawa tu.
Kama kweli kashindwa kungojea 2015 kutangaza hili atajionyesha kazidiwa na hii kazi kweli kweli na kuthibitishia ulimwengu kwamba hamnazo.
Ndiyo maana natafuta sana a verbatim quote .
Hapa unasoma wapi, si mtandaoni?