Mizengo Pinda declares assets in anti-graft drive

Mapm hawana bahati ya kuwa marais. May be they simply can't or knows too much about the Presidency. You can put it the way you want.
 
He probably means "under his name".. it doesn't include his wife, children or other close family members.. thats why I would like to see his declarations forms.
May be but I would like to give PM Pinda some benefit of doubt given the following reasons.
First, Pinda is a lawyer and I believe he clearly understands the consequences of making a dubious declaration particularly after the Chenge radar saga. Second, he has walked the talk by putting himself under public scrutiny knowing very well the heat his action will generate. Lastly, Pinda is actually daring his boss, President Kikwete to come out of his hole and be counted. Whether J.K will oblige is just a matter of conjecture.
 
Unlike his predecessor, Edward Lowassa. who was sacked for corruption, this guy sounds sincere. Pinda is not motivated by personal financial gain. Congratulations Pinda!
 
He probably means "under his name".. it doesn't include his wife, children or other close family members.. thats why I would like to see his declarations forms.
That should be most important step towards proving of the already mentioneed. Let's wait and see when the form is filled.
 
Baada ya vipindi viwili vya Uwaziri mkuu napo tutaomba atangaze ana ng'atuka akiwa amevuna nn? mwanzoni iwa wanakuwa maskini kama hivi mwishoni mmh
Ni kweli! Hata hivyo kuwa maskini leo na baadaye mwishoni akawa tajiri hakutamaanisha amefuja mali za umma. Hii ni kwa jinsi maisha yake sasa hivi yalivyo, kwamba kila kitu kuhusu matumizi kodi zetu ndizo zinaendesha. Yawezekana mali zake (ikiwemo fedha kwenye akaunti yake benki) zikaongezeka. Ila kubwa ni pale ambapo ongezeko la mali hizo litaendana na kipato halali kwa mjibu wa ajira yake.

Tungemshauri kwamba, tumefurahi kusikia akitaja mali leo kwa ufafanuzi mrefu unaoeleweka. Hivyo, tunategemea hatua kama hiyo itafanyika mwishoni mwa u-PM wake. Hatua hiyo itatuwezesha kutofautisha kiasi cha utajiri wa kipindi hiki na cha mwisho lakini pia kuona uhalali wa ongezeko litakalokuwepo.
 
Hapa huwa wanafanya multiplier kwa ndugu zao na kuwapa ili wafiche ukweli kabisa na pia itakuwa ni busara hata wakati anatoka kwenye PM akasema maana hata Sumaye alisema lakini kipindi cha kumaliza hajasema kabisa hii ni hatari sana kwa taifa letu
 
All these people have vision issues. Hawawezi kuisaidia Tanzania.. Kikwete atataka kubakisha mtandao na hilo litawazuia hawaw for life. But lets be honest, the vision needed to help Tanzania cannot come from this generation of leaders.. We have to do better, Property declarations or not!..
 
That is just a clear message to his sub-ordinates. Very likely majority of them thought the forms are for the juniors. Ni kamtego hako, you wait and see the outcome. Utawasikia na wengine.


Wanakichaa mpaka watangaze??. Subiri mpaka watamaliza muda wa uongozi hatangazi mtu kwani ni lini wameambiwa watangaze lakini hawakufanya hivyo??????????????
 
Habari wadau wenzangu……nimekua nikitafakari kwa makini sana mustakabali wa nchi hii, ilipotoka, ilipo na inapoelekea…mchanganyiko na mvurugiko wa mambo ulivyo sasa, bado hatujielewi kabisa..CCM kama chama kimetuangusha kwa kiasi kikubwa sana, however kuna watu ndani ya CCM ambao wanaweza….namuona Prime Minister Pinda kama mtu wa namna hiyo, ingawa kwa kiasi kikubwa anakosa support toka ndani, whether from His Excellency or the Cabinet…..kwa maoni yangu therefore, a man is the right Candidate for CCM in 2015 elections….he is mean, open, simple, humble………….and most important..Nyerererised much enough, both historically and ‘intelligenti-cally’-Tanzania anaijua in and out………he is the right person to save this country…NAWAKILISHA!!

You are not serious!
 
Pinda hana diplomatic ethics bado ana ile hali ya ujima ujima yakutumia typewriter, yuko too slow in action, by that time 2015 atakuwa na 67yrs too old to hold hot water hata reasoning capacity yake itakuwa imepungua we need young blood for that post by the way amependekeza ubunge uwe na kikomo vipindi vitatu na yeye 2015 atafikisha vipindi vitatu nafikiri tumwache akalee wajukuu.
 
Hafai....muongo muongo sana naye hasa kwenye hili dubwana na Richmond mbona anapigapiga chenga tu..kama kweli yeye ni PM si apeleke goma hilo bungeni na aliweke wazi...In short Pinda hafai na hata U PM aliupata basi tu.....
 
1. Sina mashaka na ujamaa na kujivunia umaskini kwa PM wetu, surely kama hivyo ndivyo alivyo navyo tu hastahili kuwa PM wa Tanzania... Tunataka mtu anayechukia umaskini kwa vitendo, na mtu wa namna hiyo lazima angekuwa better than utajiri huo mdogo saana aliosema... kwangu ni maskitiko... yale yale kuona umaskini ni jambo la kujivunia.

2. Tanzania kweli tunamatatizo, account balance sio kigezo cha kumpima mtu ana kiasi gani, kwa kuwa ni record ambayo ni valid au invalid wakati wowote. Kwa taarifa kwa wadau hata fisadai mkubwa kabisa anaweza ku-withdraw hela zote na accounts ikabakiwa na TZS 10. au even overdraft, hivyo aidha kigezo ingekuwa kuona bank statement ya miaka mitano ya nyuma au kuangalia kiasi kikubwa kabisa kilichoingizwa kwenye account au kutolewa na sio balance.

Sijaona mahali ambapo Pinda amesema anajivunia umasikini zaidi ya kuona kwamba ameeleza hali halisi ya alichonacho na kutoa maoni yake ya kutaka kuishi kiadilifu kwa kutegemea kile anachopata kihalali.

The Pinda we are talking about hawezi kufanya udanganyifu wa aina hiyo uliyoielezea.
 
Haka kaugonjwa ni ka Cabinet nzima ya Tanzania tangu utawala wa Mzee Ruksa isipokuwa kwa mawaziri wachache sana kama Jackson Makweta. Wengine wote kuzitafuna taasisi zilizo chini ya wizara zao ni kama kawa!

Kama Pinda anahusika kwa vyovyote vile kuhusu tuhuma hizi naomba mnikate shingo! Tufike mahali tuwaelewe watu/viongozi ambao ni genuine. Nadhani nchi yetu sasa imefika pabaya mno ambapo hata watu waadilifu hawaeleweki/hawaonekani/hawatambuliki kwa sababu baadhi ya watu wasio waadilifu wanataka kutuaminisha kwamba wengine wote wako kama wao.
 
How does he manage to pay tution fees for his two children who are studying at a foreign college which costs him more than U.S.$ 40,000 per annum? najua atasema allowances. Uzuri wa mkakasi......

Umesahau kwamba kuna sponsorship? Pia tukumbuke kwamba Pinda amekuwa Mbunge na Waziri kwa vipindi 2 sasa. Kwa wanaomfahamu wanaelewa kwamba amekuwa akiishi maisha ya kawaida sana and infact maisha ya chini ukilinganisha na vyeo vyake vya Ubunge na uwaziri. Kupata milioni 100 kwa mwaka kutoka kwenye mshahara na marupurupu yake ili aweze kuwapatia watoto wake elimu bora ni kitu kinachowezekana kabisa.
 
kwakeli, maana kama nakumbuka vizuri zile form mpya lazima hao wote utaje mali zao pia...na pia mmezipata lini, na hata ukiuza kitu unatakiwa ukitaje, form ni nzuri, tatizo ni wanoko kwenye kuzionyesha! wakati ni haki yetu!

Mrs Pinda kabla hajaingia kwenye ufahari wa kuwa mke wa Prime Minister alikuwa secretary wa kawaida kabisa. Siwezi kuamini kwamba angeliweza ku-amass wealth akiwa katibu muhtasi kwenye wizara ya Serikali!
 
Back
Top Bottom