Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Habari wadau wenzangu……nimekua nikitafakari kwa makini sana mustakabali wa nchi hii, ilipotoka, ilipo na inapoelekea…mchanganyiko na mvurugiko wa mambo ulivyo sasa, bado hatujielewi kabisa..CCM kama chama kimetuangusha kwa kiasi kikubwa sana, however kuna watu ndani ya CCM ambao wanaweza….namuona Prime Minister Pinda kama mtu wa namna hiyo, ingawa kwa kiasi kikubwa anakosa support toka ndani, whether from His Excellency or the Cabinet…..kwa maoni yangu therefore, a man is the right Candidate for CCM in 2015 elections….he is mean, open, simple, humble………….and most important..Nyerererised much enough, both historically and ‘intelligenti-cally'-Tanzania anaijua in and out………he is the right person to save this country…NAWAKILISHA!!