Ubungo interchange, imepunguza foleni au imepunguza msongamona kwenye eneo la daraja yaani katika mataa ya Ubungo?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Hilo ndio swali langu kwani ninachokiona ni kupunguza kwa foleni katika eneo la mataa pale Ubungo ila mita chache kutoka hapo unakuta na foleni.

Kwa mfano, ukitoka Ubungo Interchange mida ya jioni hasa kuanzia saa moja kasoro usiku mpaka saa mbili, ukifika maeneo ya Mlimani City basi ni mwendo wa foleni mpaka Mwenge. Na hapo bado foleni ya kuelekea unakoenda kutoka Mwenge mfano kwenda Bunju.

Swali la msingi ni je, madaraja haya pekee ndio yataweza kumaliza hili tatizo?

Au tujiulize, kipi kinapaswa kuanza kati ya kujenga madaraja ya mabilioni na kupanua barabara zikiwemo highway na barabara zingine zinazounganisha maeneo mbalimbali ya Jiji?

Mfano, billion zaidi ya 200 zinazojenga daraja linalopita baharini zingetumika kuboresha/kujenga/ kupanua barabara zingine zinazounganisha maeneo mbalimbali ya jiji zisingekuwa na msaada zaidi katika kupunguza tatizo la foleni katika jiji hili?

Je, umefika wakati tuweke restrictions za magari binafsi kuingia katika ya Jiji kwa kuweka tozo maalumu za kuingia katikati ya Jiji?

Na bila kuboresha public transport, itakuwa sahihi kuweka restrictions kwa magari binafsi kuingia katika ya Jiji?
 
Kwa kawaida mfumo wa interchange kama ule huwa unaondoa msongamano sehemu ulipojengwa na kuihamishia mahala pengine jirani...

Suluhisho la foleni za kudumu ni:
1.Kuwa na interchange/overpass/underpass karibu kila junction iliyo busy.

2. Kuwa na flyovers zenye kutembea umbali mrefu "expressways", mathalini uwe na njia isiyoingiliwa toka Kibaha hadi Posta, yenyewe inakuwa na exits na entries sehemu kadhaa tu.

3. Dar isiwe Posta au Kariakoo tu.

4. City trains/BRTs za kutosha
 
Kwa kawaida mfumo wa interchange kama ule huwa unaondoa msongamano sehemu ulipojengwa na kuihamishia mahala pengine jirani...

Suluhisho la foleni za kudumu ni:
1.Kuwa na interchange/overpass/umderpass karibu kila junction iliyo busy.

2. Kuwa na flyovers zenye kutembea umbali mrefu "expressways", mathalini uwe na njia isiyoingiliwa toka Kibaha hadi Posta, yenyewe inakuwa na exits na entries sehemu kadhaa tu.

3. Dar isiwe Posta au Kariakoo tu.

4. City trains/BRTs za kutosha
Sijui tunahitaji kupata wataalamu wafanye study na kisha kutupa ushauri wa kitaalamu wa kumaliza tatizo la foleni mikoani Dar-es-Salaam?
 
Pwenti namba 3 imetulia
Kwa kawaida mfumo wa interchange kama ule huwa unaondoa msongamano sehemu ulipojengwa na kuihamishia mahala pengine jirani...

Suluhisho la foleni za kudumu ni:
1.Kuwa na interchange/overpass/umderpass karibu kila junction iliyo busy.

2. Kuwa na flyovers zenye kutembea umbali mrefu "expressways", mathalini uwe na njia isiyoingiliwa toka Kibaha hadi Posta, yenyewe inakuwa na exits na entries sehemu kadhaa tu.

3. Dar isiwe Posta au Kariakoo tu.

4. City trains/BRTs za kutosha
 
Kwa kawaida mfumo wa interchange kama ule huwa unaondoa msongamano sehemu ulipojengwa na kuihamishia mahala pengine jirani...

Suluhisho la foleni za kudumu ni:
1.Kuwa na interchange/overpass/umderpass karibu kila junction iliyo busy.

2. Kuwa na flyovers zenye kutembea umbali mrefu "expressways", mathalini uwe na njia isiyoingiliwa toka Kibaha hadi Posta, yenyewe inakuwa na exits na entries sehemu kadhaa tu.

3. Dar isiwe Posta au Kariakoo tu.

4. City trains/BRTs za kutosha
kweli
 
Back
Top Bottom