Miyeyusho ya mademu wa mjini

Miyeyusho ya mademu wa mjini

nice for her mmmh me nipe hela nivitafute mwenyewe!!!!

Hapo ndipo tunatofautiana,kama unataka kitu ninachoweza kukununulia kwanini usikubali nikanunue nikuletee wataka upewe pesa!!?

Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
Huyo demu wako bado ni mtoto kwa sababu ukimnunulia nguo/simu ataulizwa ametoa wapi, ngoja akue awe haulizwi na awaone marafiki zake wanatembelea ndinga, wanavaa kutoka Woolworth, Shear Illusion, wana simu kalikali (htc one, iPhone 5s, Samsung S4 au note 3) kila akiwauliza wanawezaje wanamjibu mwanaume ndo katoa.

Mara kwenye maongezi unachomekewa, flani kanunuliwa gari/galaxy na bwana ake, anampenda! Hapa ujue majaribu ndo haya kijana.

Sio wote........wengine we are not after money

me I just need a person to love me mengine natafuta mwenyewe

kwani kinachoniamsha asubuhi kila siku na kurudi home jioni ni nini!!!!!!

yaani ye akinifanyia vitu vidogo vidogo roho yangu inaridhika tu
 
Nimeipata hii katika pitapita zangu facebook.
msumari.jpg
 
mapenzi kujiongeza, mkono mtupu haulambwi...

Mademu wa Mjini wanaishi kwa Mbinu sana.Wanaishi kwa ile Methali ya Wahenga wa Zamani,Mkono mtupu Haulambwi..
We ukikazana na I love You I love You Nyingiiiii mwenzio walaaa hazimshtui..
Wiki ya 1: Baby Goodmorning..Anajibu MRNG.TC...Hataki longolongo...
Babe umekula..anajibu Yah,why not...
Baby Goodnite anajibu Nyts...au K

Wiki ya 2 we mtumie MPESA Laki 2 ya ghafla tu kumsapraiz..
Halafu Mtext...Baby umekula..Utasikia,yes Hubby wangu,nimekula nimeshiba,nakuwaza tu hapa cant wait to see you baadae,kisses hubby akee
Ukimtumia Goodnite...Baby why unalala mapema hivi,subiri tulale wote jamaniii,au hunimiss
Ukimchunia bila kumtext lazima aanze...Hunnie Boo,mbona kimya jamani,I miss you,ukiwa kimya sana unanipa mawazo..I love you,ur the best thing ever to happen in my life...Hiyo inaitwa Miujiza ya Laki 2
Mademu wa Mjini Mshenga wao Hela...Laki 2 ina uwezo wa kubadili Nyts kuwa Goodnite my Hubby,Kisses xoxoxoxoxo hata sijuagi manake nini.
Sasa wewe endelea na I love you zako kama unaekti muvi ya Marichui HUTAPENDWA NG'OO!
Kwa Hisani ya Wanaume wote tulio Dimbwini na wanawake wasio wa Mjini

https://www.jamiiforums.com/mahusia...mjini-lazima-uwavulie-kofia-cheki-na-hii.html
 
Nilishajiwekea msimamo kuwa kamwe sintotafuta pesa kwa lengo la kuhonga na kumfurahisha mwanamke.

mmhh!!! kaka una msimamo ambao siku ukivunjika utakuwa ATM inayotema bila kadi!!
 
mapenzi kujiongeza, mkono mtupu haulambwi...

Mademu wa Mjini wanaishi kwa Mbinu sana.Wanaishi kwa ile Methali ya Wahenga wa Zamani,Mkono mtupu Haulambwi..
We ukikazana na I love You I love You Nyingiiiii mwenzio walaaa hazimshtui..
Wiki ya 1: Baby Goodmorning..Anajibu MRNG.TC...Hataki longolongo...
Babe umekula..anajibu Yah,why not...
Baby Goodnite anajibu Nyts...au K

Wiki ya 2 we mtumie MPESA Laki 2 ya ghafla tu kumsapraiz..
Halafu Mtext...Baby umekula..Utasikia,yes Hubby wangu,nimekula nimeshiba,nakuwaza tu hapa cant wait to see you baadae,kisses hubby akee
Ukimtumia Goodnite...Baby why unalala mapema hivi,subiri tulale wote jamaniii,au hunimiss
Ukimchunia bila kumtext lazima aanze...Hunnie Boo,mbona kimya jamani,I miss you,ukiwa kimya sana unanipa mawazo..I love you,ur the best thing ever to happen in my life...Hiyo inaitwa Miujiza ya Laki 2
Mademu wa Mjini Mshenga wao Hela...Laki 2 ina uwezo wa kubadili Nyts kuwa Goodnite my Hubby,Kisses xoxoxoxoxo hata sijuagi manake nini.
Sasa wewe endelea na I love you zako kama unaekti muvi ya Marichui HUTAPENDWA NG'OO!
Kwa Hisani ya Wanaume wote tulio Dimbwini na wanawake wasio wa Mjini

Bujibuji!
HAyo ndio madhara ya kuhangaika na wanawake
Wengine tunahaika na Pombe, naam kupombeka tu

Bazazi
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana I will try to da best of my knowledge to get rich, or I will die trying
 
Bujibuji!
HAyo ndio madhara ya kuhangaika na wanawake
Wengine tunahaika na Pombe, naam kupombeka tu

Bazazi

Bia ya kwanza: weita lete bia!
bia ta 2: hivyohivyo
bia ya 3: weita unaitwa nani? mbona umrembo hivi, hebu sogea karibu mpz kwanza agiza na wewe bia

Pombeka tuuuu bujibuji
 
Last edited by a moderator:
Bia ya kwanza: weita lete bia!
bia ta 2: hivyohivyo
bia ya 3: weita unaitwa nani? mbona umrembo hivi, hebu sogea karibu mpz kwanza agiza na wewe bia

Pombeka tuuuu bujibuji
Sista;
Wanawake; Wanaume hawawezi kuishi bila Nanyi
Wanawake; wanaume hawawezi kuishi Nanyi.
Ni full mgogoro na mgongano

Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
mmhh!!! kaka una msimamo ambao siku ukivunjika utakuwa ATM inayotema bila kadi!!

Kwa sasa nina msimamo kwasababu hapo kabla nilikuwa ATM inayotema bila namba ya siri.

Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
Hahhahahah mbona umetoa ukweli mtupu hapa? Mi huwa najiuliza, je kuna upendo wa kweli bila hela kwa hawa wanawake wa Dar?
 
Back
Top Bottom