Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
kwa hiyo mwanamke wako unamfurahishaje?
Anafurahi kwa vitu vya kawaida sana.
Chocolate
Movie.
kwa hiyo mwanamke wako unamfurahishaje?
kweli kabisa! na akiwa nae ajue analiwa na wenye pesa!!!!!
mwanamke pesa, mi mwenyewe nimeshazoea kuhonga yaani bila mkumuhonga mwanamke sijisikii raha kabisa.
Two lakis afadhal nijiite honey mwenyewe huku nakula kitumoto
Formula yao ni FF " If u cant feed them, u cant f**k them "
Anafurahi kwa vitu vya kawaida sana.
Chocolate
Movie.
Laki mbili maisha haya mi huwa natuma vocha ya buku tano then unagonga mzigo
Huyo demu wako bado ni mtoto kwa sababu ukimnunulia nguo/simu ataulizwa ametoa wapi, ngoja akue awe haulizwi na awaone marafiki zake wanatembelea ndinga, wanavaa kutoka Woolworth, Shear Illusion, wana simu kalikali (htc one, iPhone 5s, Samsung S4 au note 3) kila akiwauliza wanawezaje wanamjibu mwanaume ndo katoa.
Mara kwenye maongezi unachomekewa, flani kanunuliwa gari/galaxy na bwana ake, anampenda! Hapa ujue majaribu ndo haya kijana.
Kwa mawazo yenu ni kwamba wanawake wote wazuri wanaliwa na wenye pesa!!!!!!?
Anafurahi kwa vitu vya kawaida sana.
Chocolate
Movie.
sijasema hayo yote mkuu!!!!