MIXX BY YAS na misemo ya kihuni

MIXX BY YAS na misemo ya kihuni

Wenye kampuni hawana kosa ni watu ndio wanalitumia jina vibaya, hilo neno kwenye kiswahili halina maana hiyo wala halipo kabisa bali watu walitunga maana yao na kuanza kulisambaza
Mfano jina la makebo miezi mitano nyuma ilikuwa ni jina la kawaida tu humu ila baadhi ya watu wakatengeneza maana nyingine na sasa jina limekuwa kama lilivyo sasa
cha asubuhi 😁 wahuni bhana
 
Hivi hakuna chombo chochote cha kufuatilia aina ya matangazo ambayo makampuni wanayaandaa kabla hayajatangazwa kwa umma?

Ilipokuwa ikiitwa TIGO hawa jamaa walituletea msemo kwenye tangazo lao usemao: JAZA UJAZWE. Huu msemo una ukakasi wa kihuni/kingono.

Sasa wamejibadili jina na kuwa Mixz by Yas. Jina tu ni la kihuni halafu wanatuletea msemo kwenye tangazo lao usemayo: IKIINGIA TU, GOLI! Maana yake nini kama si uhuni na ungono tu??

Serikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!
Sio hawa walianzisha kifurushi wakaita 'cha asubuhi '
 
Wenye kampuni hawana kosa ni watu ndio wanalitumia jina vibaya, hilo neno kwenye kiswahili halina maana hiyo wala halipo kabisa bali watu walitunga maana yao na kuanza kulisambaza
Mfano jina la makebo miezi mitano nyuma ilikuwa ni jina la kawaida tu humu ila baadhi ya watu wakatengeneza maana nyingine na sasa jina limekuwa kama lilivyo sasa
Au mbususu
 
Msibishe, hayo ni matusi ya kingono na wenyewe wanajua maana hiyo. Lengo lao ni kubuni kitu/neno lenye msisimko ili kusisimua biashara yao. Kuna wengine wa redio wana kipindi kinaitwa bao la asubuhi. Wote hawa ni kulenga soko kwa vijana, vijana ni wengi huletewa lugha zao za kusisimua, mpaka kuna bidhaa inaitwa mshangazi ili tu kunasa vijana
 
Hivi hakuna chombo chochote cha kufuatilia aina ya matangazo ambayo makampuni wanayaandaa kabla hayajatangazwa kwa umma?

Ilipokuwa ikiitwa TIGO hawa jamaa walituletea msemo kwenye tangazo lao usemao: JAZA UJAZWE. Huu msemo una ukakasi wa kihuni/kingono.

Sasa wamejibadili jina na kuwa Mixz by Yas. Jina tu ni la kihuni halafu wanatuletea msemo kwenye tangazo lao usemayo: IKIINGIA TU, GOLI! Maana yake nini kama si uhuni na ungono tu??

Serikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!
Na wale BAO LA ASUBUHI je?
 
Mtaani nako kuna mbaba mtu mzima anauza koni, hutembeza koni kwa kusema ilambe, kama hujailamba inapita hiyo. Hiyo nayo imekaa kingonongono, ilambe nini?
 
Back
Top Bottom