Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,456
- 15,865
Hapo tatizo ni jinsi akili yako inavyoli pokea hilo tangazo.
Hio Misemo hapana asee
Bongo fm iyo kipindi nakipendaga wakichambua michezo BAO LA ASUBUHI wanasema tamuuuuu na kila mtu analitakaJuzi nimesikia kwenye radio(sijui radio gani) kipindi kinaitwa BAO LA ASUBUHI
Kimsingi mitandao imeshajua akili za % kubwa ya wabongo zipo kwenye ngono,nao wanatembelea humo humo
Ubungo wako unachakata matusi sio?IKIINGIA TU, GOLI!
cha asubuhi 😁 wahuni bhanaWenye kampuni hawana kosa ni watu ndio wanalitumia jina vibaya, hilo neno kwenye kiswahili halina maana hiyo wala halipo kabisa bali watu walitunga maana yao na kuanza kulisambaza
Mfano jina la makebo miezi mitano nyuma ilikuwa ni jina la kawaida tu humu ila baadhi ya watu wakatengeneza maana nyingine na sasa jina limekuwa kama lilivyo sasa
Sio hawa walianzisha kifurushi wakaita 'cha asubuhi 'Hivi hakuna chombo chochote cha kufuatilia aina ya matangazo ambayo makampuni wanayaandaa kabla hayajatangazwa kwa umma?
Ilipokuwa ikiitwa TIGO hawa jamaa walituletea msemo kwenye tangazo lao usemao: JAZA UJAZWE. Huu msemo una ukakasi wa kihuni/kingono.
Sasa wamejibadili jina na kuwa Mixz by Yas. Jina tu ni la kihuni halafu wanatuletea msemo kwenye tangazo lao usemayo: IKIINGIA TU, GOLI! Maana yake nini kama si uhuni na ungono tu??
Serikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!
Mmiliki wa Mixx by Yas (formerly tiGO) ni Rostam, watawala wamo mfukoni mwakeSerikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!
Au mbususuWenye kampuni hawana kosa ni watu ndio wanalitumia jina vibaya, hilo neno kwenye kiswahili halina maana hiyo wala halipo kabisa bali watu walitunga maana yao na kuanza kulisambaza
Mfano jina la makebo miezi mitano nyuma ilikuwa ni jina la kawaida tu humu ila baadhi ya watu wakatengeneza maana nyingine na sasa jina limekuwa kama lilivyo sasa
Na wale BAO LA ASUBUHI je?Hivi hakuna chombo chochote cha kufuatilia aina ya matangazo ambayo makampuni wanayaandaa kabla hayajatangazwa kwa umma?
Ilipokuwa ikiitwa TIGO hawa jamaa walituletea msemo kwenye tangazo lao usemao: JAZA UJAZWE. Huu msemo una ukakasi wa kihuni/kingono.
Sasa wamejibadili jina na kuwa Mixz by Yas. Jina tu ni la kihuni halafu wanatuletea msemo kwenye tangazo lao usemayo: IKIINGIA TU, GOLI! Maana yake nini kama si uhuni na ungono tu??
Serikali iwaangalie hawa wahuni wanatuharibia maadili!
Itafsiri kwa KiingerezaBAO LA ASUBUHI
Itafsiri kingerezaIkiingia tu Goli
Makebo = matako"Makebo" maana yake halisi ni ipi na maana mpya ni ipi?