Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Makambaaa, Makambaaaa, makambaaaaaaaa,
Bora arudi aje acheze MSONDO!
Bora arudi aje acheze MSONDO!
wadau mwenye update anipe tambwe hizza yule kaimu wa kitengo cha uropokaji naye ni gamba lilovuliwa na ccm?
Ni kweli Jamaa ni opportunist sana, ila yuko smart hawezi kwenda CCK nafikiri anajaribu kujisogeza CHADEMA, leo nimemsikia kwenye radio moja anaisifia CDM nafikiri ndio anako-target kwa sasa, seems keshasoma alama za nyakati...akili kumkichwa inabidi kufanya vetting ya watu wanaotaka kuja CDM
Ameishia darasa la nne la zamani.
na Bakari Kimwanga, Dodoma
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freemani Mbowe, amesema hatua ya wajumbe wa Kamati Kuu na Sekretarieti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kujiuzulu hakuwezi kukinusu chama hicho.
Mbowe alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na waandishi wa habari mjini hapa alipokuwa akitoa maoni yake juu ya viongozi wa CCM kujiuzulu.
Alisema hatua hiyo ambayo inadaiwa kuwa ni ya kujivua gamba, haiwezi kukinusuru chama hicho, kwani saratani yake imo kwenye damu.
"Saratani inayoitafuna CCM ipo ndani ya damu, hivyo kujivua gamba hakutaweza kukinusuru chama hicho kwani rais ni yule yule, watu ni wale wale," alisema Mbowe.
Mbowe ambaye alikuwa akizungumza baada ya kufungua kongamano la vijana wa vyuo vikuu vya mkoa wa Dodoma, alisema hatua ya kujiuzuru kwa viongozi hao CCM, ni mafanikio kwa CHADEMA, wanaharakati na wananchi ambao wameibana CCM katika hoja za msingi za mustakabali wa taifa.
"Siku zote huwa nasema CCM ni wepesi. Kujiuzuru kwa wajumbe hao wa chama tawala ni tukio la kihistori, halijawahi kutokea. Hii yote imetokana na kazi za wanaharakati, wananchi na vyombo vya habari ambayo imefanyika ndani ya miezi minne tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu. Sasa tuendeleze mapambano ya kupigania haki za wanyonge kwa hoja," alisema.
Hata hivyo Mbowe aliwataka viongozi wa CCM kuendeleza utamaduni wa kujiuzurua hata Serikalini hasa kwa Mawaziri wabovu katika utendaji wa shughuli za serikali.
"Kujivua gamba kwa CCM ni mafanikio makubwa kwa CHADEMA, napongeza wananchi na vyombo vya habari kwa kutuunga mkono katika harakati zetu kwani bado mapambano ya kupinga utawala mbovu yanaendelea tunawamba waendelee kutuunga mkono," alisema Mbowe.
Akizungumzia kitendo cha serikali kung'ang'ania kupitisha muswada wa uundwaji wa tume ya kuratibu upatikanaji wa Katiba mpya, Mbowe alirejea wito wake kutaka mswada huo usitishwe ili kupata maoni ya wananchi wote kuliko kikundi fulani cha watu.
"Muswada wa katiba kupingwa na hata kuchanwa na Wazanzibar ni ishara tosha ya muswada huo huu kukataliwa na watu, katiba ni mali ya wananchi kitendo cha wabunge wa CCM na Serikali kuendelea kutaka kupitisha muswada huu ni kuwasaliti watanzania. "Wabunge wa CHADEMA watazunguka nchi nzima kwenda kupata maoni ya wananchi na kuyawasilisha bungeni," alisema. Aidha, alisema kutokana na hali hiyo CHADEMA inaungana na maoni ya watanzania ya kupinga muswada huo na kumuomba Spika wa Bunge, Anna Makinda aieleze isipeleke muswada huo kwa haraka bungeni.
Ni liniTendwa uliwahi kusema ccm ina matatizo? siku zote ulisema ccm ni safi n imara, leo ndio unasema mabadiriko yataiimarisha ccm?
By Judica Tarimo
The Registrar of Political Parties John Tendwa said the decision would provide the opportunity for CCM to assess itself and change its perception.
"According to my opinion the decision is good and it will help to strengthen the party," Tendwa said.
...really!!! sio habari nzuri kwetu wengine!!! hawa watu hasa Tambwe Hizza walikuwa nguzo muhimu sana kwa wapinzani wa CCM!! so assignment ya mwisho ya Tambwe ilikuwa juzi kubeba wale watoto na kuwapeleka Karimjee Hall saa 11 alfajili. Karibu tena CUF, Tambwe tena kule kuna wapenda mabwabwa wengi tu!!
Please People give the old man a break. He has done what he could and we are the witness of his actions regardless of our general opinion on his performance. It is something to recognise that he has worked as Secretary General of the Ruling party for all that Period. He deserves retirement spot with respect. Stop this speculation on his next appointment.