Mixed reaction to CCM resignations

Mixed reaction to CCM resignations

afu huyu jamaa mweupe sana, leo alikua anahojiwa na Amani Misana, yaani kujikanyaga kanyaga tu
 
Channel 19 News Bulletin today at 7.00. Mbowe 'awapongeza CCM kwa kujivua gamba ili kuondokana na uharamia.' Anasema hayo ni masuala yao ya ndani lakini "tutapambana nao iwapo uharamia wao wataupeleka serikalini. Kule ndiko tutapambana nao vikali sana"
 
Nadhani amesema kuwa tatizo la CCM ni kuwa Viongozi wake wanajiuzulu nyadhifa za chama na hawataki kujiuzulu nyadhifa za serikalini wanapofanya vibaya,kwani huku ndio wanatuumiza watanzania kwa utendaji wao mbaya.............................Kwa maneno mengine ni bora waendelee kukaa kwenye nyadhifa zao za chama kuliko kuendelea kukaa kwenye nyadhifa za serikalini wakati wanafanya vibaya...
 
Mjomba hujaelewa ata ITV wameonesha kamusikilize tena ndo uje hapa na thread yako



GAMBA BADO HALIZAVUKA MJOMBA
 
Tundu Lissu is now live on Ch 10 Hamza kassongo Hour about the Constitutional issue.
 
asante mkuu kwa taarifa wacha nikamsikilize kwanza
 
Mweshimiwa Tundu Lissu aushanga muswada ambao haukupelekwa kwa kamati ya bunge ya sheria kabla ya kupelekwa kwa wananchi kujadiliwa wacha niendelee kumsikiliza
 
WanaJF kama upo karibu na tv mimi kwenye kwangu channel 10 haishika

Please walio karibu watujuze anaongelea nini

Kuna mtu kanipigia kaniambia yupo channel ten live
 
mkuu tujuze nimeanzisha thread kuuliza mana jamaa yangu kanipigia simu kuwa lissu yuko channel ten

tupe updates
 
Nimemkuta anachambua matumizi mabaya ya hati ya dharura. Wakati wa uhujumu uchumi na mwaka jana kwenye sheria ya gharama za uchaguzi
 
pamoja na mambo mengine ya msingi yanayoitwa matakatifu kuzuiwa kujadiliwa,anaponda zanzibar kutohusishwa ktk uandaaji wa katiba,Tundu yupo deep sana
 
Pia amechambua kw kina hati za dharura toka uhuru na kuita miswada ya voda fasta.Sasa hivi anasema kimsingi muswada huu ungefuata utaratibu wa kawaida ili wananchi wengi washiriki.
 
ch 10 kwangu inachanganya picha na sauti ya redio nimechukia kinoma. Kesho nawafuata star time hapa arusha kuwatukana kwanza
 
CCM,IT'S TIME YOU FOOL SOME FEW REMAINING IN EXTREME DARKNESS,WITH A LITTLE SERIOUSNESS.........YOUR DAYS ARE NUMBERED!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:rip::rip::rip::rip::rip:CCM
 
Siamini Mbowe anaweza kusifia chochote cha CCM kwakuwa yeye ni mpinzani na ataendelea kuipinga CCM kwa kila jambo kama atasifia hakuna haja ya kuwa mpinzani kusifia mambo ya uongozi wa chama pinzani at least ingekuwa ni kwenye serikali watu wamejiuzulu ingeleta sense akipongeza maana ingeeleweka kwa manu faa ya wannchi na si chama!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom