Kanafaa, kanauzwa Tsh ngap?
Mkuu,
kama unataka gari fuel economic, iliyo nyanyuka juu, four wheel na imara, fuata hiyo link hapo chini. Hiyo Pajero Jr sikushauri ununue. Ongea kwanza na mafundi kabla hujafanya maamuzi ya kununua gari.
Kama unanunua ulitumie kwa muda kisha uliuze, basi sawa. Ila kama utalitumia kwa muda mrefu likianza kukusumbua utatamani ulitupe.
Pia, kama unanunua gari ukiwa na matarajio ya kuliuza baadae usichukue Manual Transmission. Utapata shida sana kupata mteja. Watu wengi hawawezi kuendesha manual, na pia kwa foleni za dar mguu utauma kwa kukanyaga clutch pedal.
Karibu
Suzuki Escudo GF-TA02W(1998) / 4WD / US$3,790 / 45,000 km / Autorec Enterprise, Ltd - Japanese Used Car [ tradecarview ]
Hapa naona kama mdau unamtishia!! mimi nina pajero mini ambayo niliagiza toka Japani ina mwaka sasa, licha ya hivyo kuna kaka yangu pia ana pajero toka mwaka 2008, aliagiza toka Japani na haimsumbui kihivyo unavyotaka kutisha. Hizi gari ukiwa nayo cha msingi ni service tuu basi. labda tatizo la Mitsubishi kwa ujumla ni kwamba spare parts zake ni ghari sana tofauti na za Toyota, ila pia spare zake ni original/genuine, huwezi kuweka spare leo then ikafa kesho tofauti na Toyota.
Mkuu mzm mimi nakushauri ununue hiyo gari maana ni very economical, sio unakuwa na magari mengine kama kipato chako ni kidogo inabidi ui park kisa umeshindwa kununua mafuta, au unafanya safari zako kwa mawazo kweli! kwanza hiyo gari ninaamini ukiingiza hapa haitakugharimu zaidi ya mil8 mpaka unaiendesha mwenyewe na hata huyo agent utakuwa umemlipa.
Manual ndo gari ya kiume kwanza, pia watu wa kuazimaazima hawakusumbui sana, halafu ukumbuke kuwa magari ni bahati, unaweza kununua unayoshauriwa na labda huko mbeleni ikaja kukusumbua sana.
Ili gari yako yoyote ile idumu ni matunzo (kuitumia vizuri) na service, otherwise nunua unachokipenda ambacho unadhani kitakusaidia wakati wowote.
hiyo nimetumia kwa kilometer 200 000 bila tatizo
Kweli unayosema spare parts ni ghali na pia mafundi wengi zinawapa shida hizo gari hakikisha unapata fundi anayeijua , pia nilikuwa nayo Subaru na ngumu sana nilikosea step kupeleka kule mabondeni kwa mafundi ndio waliua gear box sababu kubadilisha clutch
Sasa mafundi wengi gari za UK zinawapa shida wanasema gari no mbovu hawasemi wameshindwa tengeneza
mwana nipe engine type nikanunue namimiYeah! Kanafaa sana, mimi nina pajero mini niliagiza toka Japan, manual, cc660, 4WD, iko juu sana kama hiyo jr na zinafanana na hiyo kila kitu isipokuwa cc. Inanisaidia sana kuendea kazini na kwenye mizunguko yangu. Kwenye mafuta ni very economical na kwa barabara za bongo inafika popote. Inunue wala usiogope maana pia kuna mwenzangu yeye alinunua kama hiyo jr, ana enjoy nayo.
mwana nipe engine type nikanunue namimi
MAKER: MITSUBISHI
MODEL: PAJERO MINI
ENGINE: MITSUBISHI MOTORS CORPORATION.
MODEL: E-H56A MNHF
Ni gari nzuri sana kwa matumizi yasiyotaka pressure ya kuwazia mafuta.
kiongozi wewe fundi wako yuko wapi?Hapo nimekusoma mkuu, ila kwa mafundi kweli ni tatizo ila ukimpata anayeiwezea utaenjoy sana, ni gari ambazo zinadumu sana. Ila nilichokiona mimi kwenye magari ili yai service na matumizi tuu.
kiongozi wewe fundi wako yuko wapi?
mbona nasikia zinasumbua sana?Yeah! Kanafaa sana, mimi nina pajero mini niliagiza toka Japan, manual, cc660, 4WD, iko juu sana kama hiyo jr na zinafanana na hiyo kila kitu isipokuwa cc. Inanisaidia sana kuendea kazini na kwenye mizunguko yangu. Kwenye mafuta ni very economical na kwa barabara za bongo inafika popote. Inunue wala usiogope maana pia kuna mwenzangu yeye alinunua kama hiyo jr, ana enjoy nayo.
Mpaka sasa bado haijaanza kusumbua kwa kiasi hicho, nimewahi kubadilishia Fuel pump na battery tuu, kingine ni service ya oil ya kawaida ambayo nafanya kila zikikaribia km 3000 za kutembea. Ila pajero GDI ya bro mafundi wake wap jangwani sijajua ni garage ipi ambayo yeye kadumu nayo toka 2008 na iko poa. mimi kwenye gari huwa naamini ktk kulitunza na service tuu. kuna wengine wanadai Honda CRV ni mbovu sana, japo kuna watu wanadumu nazo miaka mingi tuu. Gari ni service na matumizi mazuri.