Maruweruwe kabisaHahahah usiniambie
Nani kasema! [emoji182][emoji182][emoji182][emoji8][emoji173][emoji7][emoji8][emoji7]Hahahahahaha ukinipa talaka hahahahah ngoja niishie hapaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji8]Nimekumiss ubani wa moyoooo nakupenda no matter what?
[emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji19] pichu ya Google hiyo jamaniUkirud utakuta karatasi ya talaka mezani [emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Atakuwa sio mkurya huyo, Neno MURAA hutumika kwa wanaume tu2.WAKURYA
"Muraaa Demiss kesho uje kule magorofani Muraaa nakaa gorofa ya pili mura nyumba namba 3B muraaaaa haraka sana ujeee Muraaaaa"
"Nakupenda sana Muraaa nataka nikuoe muraaa mm sina maneno mengii muraaaaa nakupenda mura mm ni Mkuu wa kituo cha polisi Muraaaa so utakuja au hauji Muraaa?
"Unajua kama mkuu wa mkoa ni ndugu yangu Muraaa "Muraaa kesho basi Muraaaa Demiss.
Siku zenyewe zinahesabika nishakata tiketi hapaUmeonaaaa eeeh ila huu mwez mtakatifu hatujafanya mengi mazuri
kazi kwelikweliEeeeh ilikuwaje au uje pm unichombeze
MamboAbeeeeh
Kuna mheshimiwa flan ni msukuma jaman ananisumbua huyoo mpaka basiiii anaombaaa mpaka kuja kwetu nimemwambia mm nimeolewa hatak kuamin mpaka anataman kwenda kwa mama kupata uthibitisho weupe unamzinguawasukuma wanapenda sana wanawake weupe, huwezi kusikia msukuma ana mchepuko kama ana mke mweupe.
hahaha wasukuma buwana hatareeee nimeishi nao kwa miaka 20
Nani kasema! [emoji182][emoji182][emoji182][emoji8][emoji173][emoji7][emoji8][emoji7]
Kashafika kumbeeee....[emoji8]