Mitongozo ya Wanaume hawa inavutiaa sana!

Mitongozo ya Wanaume hawa inavutiaa sana!

2.WAKURYA

"Muraaa Demiss kesho uje kule magorofani Muraaa nakaa gorofa ya pili mura nyumba namba 3B muraaaaa haraka sana ujeee Muraaaaa"

"Nakupenda sana Muraaa nataka nikuoe muraaa mm sina maneno mengii muraaaaa nakupenda mura mm ni Mkuu wa kituo cha polisi Muraaaa so utakuja au hauji Muraaa?
"Unajua kama mkuu wa mkoa ni ndugu yangu Muraaa "Muraaa kesho basi Muraaaa Demiss.

kichwani kwako kuna akili kweli,?
endlea kutafuta sifa za kijinga jf
Demiss
 
Anyway Binti umesomamo kidogo.ira humfikii my douta.infwact yuko USA anachukua Llb.by the way r u married?usishangae sana hii ndio lugha ya kwetu kamachumu.
 
Back
Top Bottom