Kuna fundi alikuwa ananishonea nguo alikuwa architect by professional. Alikua na kipaji cha ubunifu alitaka kujifunza kushona baada ya kumaliza form six akiwa amepasua. Baba yake ambae ni mwanasheria nguli alimwambia hakulea fundi charahani.Kazi yangu ya uhasibu natupa kule nataka kuwa fundi wa kushona mavazi ya kike tuu. Narudia ya kike tuu. Napenda sana kazi ya kuchukua vipimo😍😍
Ninadhani ni urembo tu, kuwa au labda wote tu washamba.Hivi sky hizi wheels nazoziona kwa ukuta wa chumba au nyumba zipo kama roulette wheels ni nini? Tutoane ushamba au ni urembo tu?
Ulishawahi kuziona pia?Ninadhani ni urembo tu, kuwa au labda wote tu washamba.
Pubs zinakua zakuchezea snookerUlishawahi kuziona pia?
Tuambiane basi labda na mimi nikaupenda ni upi😂Thanks nimepata mshonoo!!!!
Huo nime u quote hapo juu...freesize ina marinda ya njano mbele...nimeupendaaa sana....kuhusu shingoni hapo nipo radhi kufa na fashion😆😆Tuambiane basi labda na mimi nikaupenda ni upi😂
Mtu akivaa hivi + mguu... hata ukiambiwa utoe ng'ombe 100 huwazi.
Mtu akivaa hivi + mguu... hata ukiambiwa utoe ng'ombe 100 huwazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaah