Mitindo hatari wakati wa mapenzi kwa wanaume

Mitindo hatari wakati wa mapenzi kwa wanaume

Nipishe huko pumbavu zako! Unaacha kufanya utafiti jinsi ya kupata Umeme kutoka mabaki ya miwa, unakazania raha zetu!
Labda huko kwenu kusiko na jando na unyago, huku kwetu hata mgonjwa wa tezi dume, igende ibwele!
Cc: mamaafacebook
Cc: ram
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
nimeishia kucheka next time watasema pia kugegedana hakufai sjui itakuaje tafitit zingine na kisanga
Nipishe huko pumbavu zako! Unaacha kufanya utafiti jinsi ya kupata Umeme kutoka mabaki ya miwa, unakazania raha zetu!
Labda huko kwenu kusiko na jando na unyago, huku kwetu hata mgonjwa wa tezi dume, igende ibwele!
Cc: mamaafacebook
Cc: ram
 
Hapana Mkuu kwanini aisee??? nini sababu ya kusema hivyo??

afadhali nawe mkuu baptist umekuja hapa jukwaani kwani mkuu magode ana kizungumkuti juu ya ID ztu , ila ajue ya kwamba mimi na wewe hata hatujuani zaidi ya kazi za hapa mtandaoni tu.
 
Last edited by a moderator:
afadhali nawe mkuu baptist umekuja hapa jukwaani kwani mkuu magode ana kizungumkuti juu ya ID ztu , ila ajue ya kwamba mimi na wewe hata hatujuani zaidi ya kazi za hapa mtandaoni tu.

Mkuu Magobe amewaza nini kufikia hitimisho kwamba I'd hizi ni za mtu mmoja..
 
Last edited by a moderator:
Hapana Mkuu kwanini aisee??? nini sababu ya kusema hivyo??
wala sikuwa na sababu kubwa sana mkuu baptist. Kilichonifanya nifikirie hivyo,ni jinsi mkuu MeinKempf anavyofuatilia huu uzi na ku- quote karibu kila mchango. Ni hicho tu na nawaomba tuendelee na mchango me namalizia supu ya utumbo hapa!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Magobe amewaza nini kufikia hitimisho kwamba I'd hizi ni za mtu mmoja..

na ndipo hapo nami sijamsoma kabisa....

wala sikuwa na sababu kubwa sana mkuu baptist. Kilichonifanya nifikirie hivyo,ni jinsi mkuu MeinKempf anavyofuatilia huu uzi na ku- quote karibu kila mchango. Ni hicho tu na nawaomba tuendelee na mchango me namalizia supu ya utumbo hapa!!!

Ahasante kwa ufafanuzi mkuu... mie naomba walau uni alike supu ya kongoro nizid imarisha mashine yangu isije kutwa na janga tunalo jadili hapa.
 
na ndipo hapo nami sijamsoma kabisa....



Ahasante kwa ufafanuzi mkuu... mie naomba walau uni alike supu ya kongoro nizid imarisha mashine yangu isije kutwa na janga tunalo jadili hapa.

Mkuu Magobe amefafanua vizuri sana.. Ngoja tuendelea na majadiliano kama kawaida..
 
Ohooo! Waache wahanga wa panya road wapumzike mkuu!
Kuvunjika kwa mpini ndio mwanzo wa uhunzi?Hivi panya Road inaweza vunja mpini? Hizo nguvu zinazungumzwa za kuvunja? Zinavunja wapi sasa

ha ha huyo mtafiti lazima uume wake ulivunjia si bure ha ha wanaume mmesikia?
Aisee Napata shida sana kumuelewa huyu mtafiti!!
 
Sisi Mapadri hapa hatuna cha kuchangia, maana ni weupe sana!

Yaani umesema mwanamke anakuwa juu ya mwanaume! unaweza kutuonyesha picha jins inavyokuwa, dah yaani usilolijua ni kama usiku wa giza tororo!

Basi saizi muumini akija kuungama akisema amezini, nitamuuliza ulizini kwa mtindo upi! ningeiona picha ningejua nimwambie asali sara ya Baba Yetu mara 10, Salamu Maria x15, Amri za MUNGU X20, Kanuni ya Imani x30.
mwenye picha aweke jaamani nione

Ningeweka lkn naogopa ban
 
Watafiti wa Brazil wabaini mtindo huu kwenye Tendo la ndoa ni hatari kwa wanaume. Wanasayansi Nchini Brazil wamefanya utafiti ili kubaini ni mtindo upi kwenye tendo la ndoa ulio hatari zaidi kwa mwanaume.

Kwa mujibu wa Utafiti huo, mtindo ambao mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndio hatari zaidi na huwa na risk kubwa zaidi ya kusababisha hata kuvunjika kwa uume (penile fracture).

Wanasayansi hao wanasema: Pindi mwanamke anapokuwa juu, mara zote hucontrol movement na u

Weka Picha!
 
Back
Top Bottom