Mitindo hatari wakati wa mapenzi kwa wanaume

Mitindo hatari wakati wa mapenzi kwa wanaume

Sisi Mapadri hapa hatuna cha kuchangia, maana ni weupe sana!

Yaani umesema mwanamke anakuwa juu ya mwanaume! unaweza kutuonyesha picha jins inavyokuwa, dah yaani usilolijua ni kama usiku wa giza tororo!

Basi saizi muumini akija kuungama akisema amezini, nitamuuliza ulizini kwa mtindo upi! ningeiona picha ningejua nimwambie asali sara ya Baba Yetu mara 10, Salamu Maria x15, Amri za MUNGU X20, Kanuni ya Imani x30.
mwenye picha aweke jaamani nione
 
sasa vibamia itakuwaje maana bila hivyo ni majanga tupu utatoka kwa game kama ulivyoingia

Vitanusa nusa hata kwa juu juu walau hata navyo viambulie japo udambwi dambwi tu.
N ahivyo mazingira ya kuvunjika kwa vibamia kuwa ni asilimia kiduchu sana kama ilivyo mbinde kuiona shingo ya kobe.
 
Sisi Mapadri hapa hatuna cha kuchangia, maana ni weupe sana!

Yaani umesema mwanamke anakuwa juu ya mwanaume! unaweza kutuonyesha picha jins inavyokuwa, dah yaani usilolijua ni kama usiku wa giza tororo!

Basi saizi muumini akija kuungama akisema amezini, nitamuuliza ulizini kwa mtindo upi! ningeiona picha ningejua nimwambie asali sara ya Baba Yetu mara 10, Salamu Maria x15, Amri za MUNGU X20, Kanuni ya Imani x30.
mwenye picha aweke jaamani nione

Napata wasi wasi na wito wako mkuu @padre kwani waweza kuwa wale wale wana endela kula mema ya nchi kama kawa huku wakiishi kwa kofia za kichunga kondoo.
By the way soma soma kwani inaweza kusaidi wakati unafundisha mafundisho ya ndoa kwa wana ndoa watarajiwa.
 
MESOMA mara 3....maneno haya sijaelewa

....................................................
Watafiti wa Brazil wabaini mtindo huu kwenye Tendo la ndoa ni hatari kwa wanaume. Wanasayansi Nchini Brazil wamefanya utafiti ili kubaini ni mtindo upi kwenye tendo la ndoa ulio hatari zaidi kwa mwanaume.
 
Waache uzushi

Toka lini k ikawa na sehemu mbaya kwa uume???????

Hawataki wanawake wawe wanajipimia eeeeh??
 
Vitanusa nusa hata kwa juu juu walau hata navyo viambulie japo udambwi dambwi tu.
N ahivyo mazingira ya kuvunjika kwa vibamia kuwa ni asilimia kiduchu sana kama ilivyo mbinde kuiona shingo ya kobe.

sasa vibamia itakuwaje maana bila hivyo ni majanga tupu utatoka kwa game kama ulivyoingia

Hahahah mmepinda nyinyi
 
Aahahahahahhh, nimechekaje
Acha nizime na PC niende zangu home, kha!

Yaaani "mashine ya mwanaume " inavunjika? labda awe mwanaume wa dar anaye amaka na kula ubuyu, mchana anakula bga na piza na usiku anakula urojo na maji ya Uhai kisha ana lala.
 
Back
Top Bottom