Mitihani ya maisha

Mitihani ya maisha

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,900
Reaction score
828,512
Mitihani ya maisha. Anaitwa Pereira Ame Silima alikua Mbunge wa jimbo la Chumbuni, Zanzibar kuanzia mwaka 2010 hadi 2015. Pia amewahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha 2010 hadi 2012, kisha Naibu Waziri Mambo ya ndani 2012 hadi 2015. Kwenye uchaguzi wa 2020 alichukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM lakini hakupitishwa. Mwaka 2021 akateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Comoro nafasi aliyoitumikia hadi mwaka 2024 alipomaliza muda wake. Kwa bahati mbaya baada ya hapo amekuwa kwenye changamoto nyingi za kifamilia.

#MyTake:
Unapoombea nchi, usisahau kuombea wanaume (hasa waliooa). Wanapitia mitihani mingi sana ya maisha.!


View: https://www.facebook.com/share/v/18d4au912A/?mibextid=D5vuiz
 
aisee kwa vyeo vyote alivyowahi kuwa navyo kuna namna aisee.... kuna namna ambavyo hiyo pesa kaipeleka. nchi hii ukiwa tu mbunge miaka 10 unakuwa class tofauti ya sisi wasaka tonge, sasa ndani ya mwaka mmoja wa kukosa uteuzi kafika hapa?
 
Makalla njoo msaidie na huyu mwanaume mwenzetu kama ulivyomsaidia yule mwanamke wa CHADEMA
C7hTl2qW4AI03dQ.jpg
Amb_Pereira_A_Silima_-_28de80_-_e3eeb813d61fc8c9a3cffbca4e99bff327fcca52.jpg
 
aisee kwa vyeo vyote alivyowahi kuwa navyo kuna namna aisee.... kuna namna ambavyo hiyo pesa kaipeleka. nchi hii ukiwa tu mbunge miaka 10 unakuwa class tofauti ya sisi wasaka tonge, sasa ndani ya mwaka mmoja wa kukosa uteuzi kafika hapa?
Mzee wa michango Makalla hili asilikalie kimyq kama halijui
 
Mitihani ya maisha. Anaitwa Pereira Ame Silima alikua Mbunge wa jimbo la Chumbuni, Zanzibar kuanzia mwaka 2010 hadi 2015. Pia amewahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha 2010 hadi 2012, kisha Naibu Waziri Mambo ya ndani 2012 hadi 2015. Kwenye uchaguzi wa 2020 alichukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM lakini hakupitishwa. Mwaka 2021 akateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Comoro nafasi aliyoitumikia hadi mwaka 2024 alipomaliza muda wake. Kwa bahati mbaya baada ya hapo amekuwa kwenye changamoto nyingi za kifamilia.

#MyTake:
Unapoombea nchi, usisahau kuombea wanaume (hasa waliooa). Wanapitia mitihani mingi sana ya maisha.!


View: https://www.facebook.com/share/v/18d4au912A/?mibextid=D5vuiz


Pesa za Ubunge na za Ubalozi amefanyia kazi gani hasa?
 
Ndivyo ilivyo, binadamu tunajisahau sana. Ukipata pesa nyingi shukuru, acha mbwembwe. Pesa ilivyo haitaki kelele na mbwembwe, unapoitupa pesa bila kutoa kafara lake basi lazima likukute kama huyo Mzee hapo.
 
Mitihani ya maisha. Anaitwa Pereira Ame Silima alikua Mbunge wa jimbo la Chumbuni, Zanzibar kuanzia mwaka 2010 hadi 2015. Pia amewahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha 2010 hadi 2012, kisha Naibu Waziri Mambo ya ndani 2012 hadi 2015. Kwenye uchaguzi wa 2020 alichukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM lakini hakupitishwa. Mwaka 2021 akateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Comoro nafasi aliyoitumikia hadi mwaka 2024 alipomaliza muda wake. Kwa bahati mbaya baada ya hapo amekuwa kwenye changamoto nyingi za kifamilia.

#MyTake:
Unapoombea nchi, usisahau kuombea wanaume (hasa waliooa). Wanapitia mitihani mingi sana ya maisha.!


View: https://www.facebook.com/share/v/18d4au912A/?mibextid=D5vuiz

Sasa kawaje, mbona watuonesha gari tu mkuu
 
Back
Top Bottom