Habarini wakuu! Naombeni msaada wa kujua nitumie njia gani ya kukausha miti ya jirani yangu, kwa kweli kwangu ni kero halafu sio mstaarabu, hata nikimuomba mimi niipunguze tunasumbuana bila sababu za msingi, nataka nipate dawa/sumu niikaushe tu kimyakimya bila kujua, sipendi magomvi nae wakuu, natesa familia yangu kusafisha uwanja kila wakati.
View attachment 654248View attachment 654249View attachment 654249