mm ni mpenzi wa mpira na ninapenda kuangalia na marafiki zangu so nikaamua kununua flat screen kubwa na Dstv nikaweka seating room tukawa tunaangalia wote kama familia
Kwamba ye anatongozagwa tu! Thread nyingine anamchumba ametamaniwa na boss, thread nyingine anamke amekumbana na mchepuko, thread hii hajaoa ila anategwa na mke wa mchungaji!!!
Kweli mkuuHawa mbuzi wanawachukulia wana-MMU ni mapimbi haiwezekani mtu aje na nyuzi zinakinzana kiasi hiki bila uoga na hayupo peke yake wapo wenzake wenye tabia hizi.
Aisee kweli huyu inaweza kula kwake akifanya mchezo.Mimi najiuliza unatoka wapi kuangalia movies na mke wa Mchungaji tena wakati mwenyewe hayupo???
Kwanza inavyo onekana wewe ndiye unajipeleka kwake kwani umesema hapo...ukaaga ukaenda kutembea??
Acha hizo kama unataka movies azima ukaangalilie kwako. Wanaume hawaangalii Movies/TV kwa wake za watu wakati wenyewe hawapo...shauri yako!!!
Isije kuwa wewe ndiye unampa vishawishi halafu unamlaumu mama wa watu....
Jichunguze kwanza!!!!
Hiyo TV umeiweka kwako au wapimm ni mpenzi wa mpira na ninapenda kuangalia na marafiki zangu so nikaamua kununua flat screen kubwa na Dstv nikaweka seating room tukawa tunaangalia wote kama familia