mwanga mweusi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 255
- 407
poleni na majukumu.
Mwaka jana nimetokea hom nipo mkoani huku natafuta maisha sasa naishi nyumba yakupanga kwenye nyumba tupo poa sana nikama familia 1 tunaheshimiana sana mimi sina mke na sihitaji tangu nije huku mwezi wa 9 sijawai ingiza mtu yeyote geto kwangu hata mwanaume ajawai ingia, mimi sinaga marafiki wengi wala kampani nikitoka job ni ndani nikitoka ni job , ila kuna huyu mke wa mpngaji mwenzangu hua ananiulizaga sina rafiki? namwambia ninao huko kazini mara aniulize huna rafiki wa kike? namjib sina ivyo ivyo siku zinasogea kuna viashiria navionaga kama namwelewa simwelewi ivi siku nikifua kama mume wake ayupo anisaidie kwa lazima na kufagia chakula anipe wakat sijamwomba na mm sipikagi nakulaga huko barabarani nikija ni kulala tu .
huyu dada ana viashiria vyote vya kutaka kua na mausiano na mm ila sina uhakika ina wezekana vingine ni vyakawaida tu ila mini nikawa nawaza vibaya,.
Na mimi nataka nipenyeze hapo nami niwe kwenye ka uhusiano ka wizi ila naogopa kumwambia chochote sababu nailinda heshima tulio nayo na mumewake maana tupo sehem moja ya kazi ila vitengo ttofauti sikutaka saana kuwaza huu ujinga ila imebidi sababu leo nimeenda kuoga mlango wa bafu haufungi sababu umepigwa mvua ukatanika hua unashikizwa tu nimemaliza kuoga najifuta dushee limeinama linatunga sheria mara mlango unafunguliwa kucheki ni mke wa jamaa akaniangaliaaaa akaangalia dushee mm nikawa kama sielewi kitu anaondoka bila kuongea kitu nikawaza sana nikatoka nikakutana nae nje usokwauso akatabasam sana tu mm nina hasira tu nimeingia ndani ndio naandika hapa bado hata sijatoka bado.
hapo kafungulia mlango sasa maana niliogopa kumwambia chochote sababu niliogopa ataweza mwambia mume wake ila kashafungua pointi mimi naendeleza nitbatumia mbinu ambayo haijawai nifelisha lazima nimle tu nitatumia akili ili asiwe na pointi za kunisemea kwa mumewake sababu najua hawez mwambia kama kaja bafuni na mm natumia hapohapo kuendeleza
nisamehewe tu hili nimeridhia nitaonekana boya sana mimi.
Kweli kua namke ni kitu ambacho ni kigum sana maana namwona mshikaji hapa af namwonea huruma yan.
sasa leo nimeenda bafuni
Mwaka jana nimetokea hom nipo mkoani huku natafuta maisha sasa naishi nyumba yakupanga kwenye nyumba tupo poa sana nikama familia 1 tunaheshimiana sana mimi sina mke na sihitaji tangu nije huku mwezi wa 9 sijawai ingiza mtu yeyote geto kwangu hata mwanaume ajawai ingia, mimi sinaga marafiki wengi wala kampani nikitoka job ni ndani nikitoka ni job , ila kuna huyu mke wa mpngaji mwenzangu hua ananiulizaga sina rafiki? namwambia ninao huko kazini mara aniulize huna rafiki wa kike? namjib sina ivyo ivyo siku zinasogea kuna viashiria navionaga kama namwelewa simwelewi ivi siku nikifua kama mume wake ayupo anisaidie kwa lazima na kufagia chakula anipe wakat sijamwomba na mm sipikagi nakulaga huko barabarani nikija ni kulala tu .
huyu dada ana viashiria vyote vya kutaka kua na mausiano na mm ila sina uhakika ina wezekana vingine ni vyakawaida tu ila mini nikawa nawaza vibaya,.
Na mimi nataka nipenyeze hapo nami niwe kwenye ka uhusiano ka wizi ila naogopa kumwambia chochote sababu nailinda heshima tulio nayo na mumewake maana tupo sehem moja ya kazi ila vitengo ttofauti sikutaka saana kuwaza huu ujinga ila imebidi sababu leo nimeenda kuoga mlango wa bafu haufungi sababu umepigwa mvua ukatanika hua unashikizwa tu nimemaliza kuoga najifuta dushee limeinama linatunga sheria mara mlango unafunguliwa kucheki ni mke wa jamaa akaniangaliaaaa akaangalia dushee mm nikawa kama sielewi kitu anaondoka bila kuongea kitu nikawaza sana nikatoka nikakutana nae nje usokwauso akatabasam sana tu mm nina hasira tu nimeingia ndani ndio naandika hapa bado hata sijatoka bado.
hapo kafungulia mlango sasa maana niliogopa kumwambia chochote sababu niliogopa ataweza mwambia mume wake ila kashafungua pointi mimi naendeleza nitbatumia mbinu ambayo haijawai nifelisha lazima nimle tu nitatumia akili ili asiwe na pointi za kunisemea kwa mumewake sababu najua hawez mwambia kama kaja bafuni na mm natumia hapohapo kuendeleza
nisamehewe tu hili nimeridhia nitaonekana boya sana mimi.
Kweli kua namke ni kitu ambacho ni kigum sana maana namwona mshikaji hapa af namwonea huruma yan.
sasa leo nimeenda bafuni