gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
- Thread starter
- #61
Ha ha ha.. Haikwepeki hiyo gfsonwin.. Cha muhimu ni kuwapa darasa tu wanao kwamba if they can't abstain then they should use condoms.. Unajua wakati ule nafanya mambo hayo ukimwi ulikuwa haujasambaa.. Maana ciku hizi beki 3 ndo anachangia kuambukiza ukimwi ndani ya nyumba.. Imagine watoto wa kiume wale mzigo.. halafu kumbe baba nae anakula.. Ni hatari ila kuwa open kwa watoto wako.. Ukiwaambie wacifanye lazima watafanya..
mmmh! hapa napata ganzi uwiiiiiiiiii natamani Kongosho na Kaunga waje hapa
Last edited by a moderator: