gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
- Thread starter
- #101
Hapo kosa la mume aliemshawishi ashukie Dodoma na kukaa nae siku3...kama alimshawishi na kulala nae chumba kimoja,hapo ndipo pabaya sana!kosa ni la nani?angeweza kumkatalia boss wake tena ugenini!na mazingira ya hotelini?kama anapata kinywaji ndio basi tena!hata iweje wababa wana makosa sana kwa HG!atulie nae ampe do and don't zake akiwa anamchunguza!
mmh! hapa pagumu sana.