Mitego ya dunia hii siiwez!!

Mitego ya dunia hii siiwez!!

umenena lolz!
hapa niko chumban naandika yeye yuko bafuni anafua iyo kanga alovaa ni moja tena fupi bila blauzi.
nimemchungulia ufuaji wake nikasema hapa mguu sawa.

we jichekeshe tu hapa!
ujue sitakubembeleza mimi!
shaurilo!
 
Hautakuwa fair kwake maana ushaamini kwa kusikia. Mrudishe tu!
 
sakapal baba Klein hayupo na yeye kama mwanaume siwez kusema hatoanguka dhambini ama la kwani nayeye ni binadamu kama wanaume wengine. na akianguka yeye dhambini kama mtu mzima ataniumiza mm sana sana ila sitokuwa na la kufanya manake yeye kaona hii ndio busara zaid.

kwangu mm sasa hivi nalia na Klein jaman, nimeshaongea nae kwa maneno na hata kwa biblia sasa nimebaki kusali tu. hofu yangu ni kwamba kama akiwa kiruka njia si ndo mwanzo wa kuleta magonjwa kwa watu wa karibu yangu??

unajua unaniudhi unavochelewa enh?
hujui naona!ungekuwa unajua ungeshafanya la muhimu!
 
gfsonwin the story is too long, ntamalizia laterz. lakini nimeona part II una mashaka na HG aliyeumbika, naomba umlete kwangu ili kulinda wanao halafu ntakutafutia mwingine ambaye ni "average looks na salama"

hahahhah! so wewe unataka maid?? ni mzuri sana sana wa kila kitu kasoro elimu yake tu ndo darasa la saba.
kama uko siriaz basi tuwasiliane nikupe akufanyie kazi.

mie hofu nikwa Klein wangu tu, baba yake wala sina mashaka manake kama hajajifunza basi bana itakuwa ni tabia na haina dawa
 
hahahhah! so wewe unataka maid?? ni mzuri sana sana wa kila kitu kasoro elimu yake tu ndo darasa la saba.kama uko siriaz basi tuwasiliane nikupe akufanyie kazi.mie hofu nikwa Klein wangu tu, baba yake wala sina mashaka manake kama hajajifunza basi bana itakuwa ni tabia na haina dawa
I'm sure utaweza kumlea klein through this 'temptation', sio ngumu kama udhaniavyo. kuhusu maid no thank you, wa kwetu amekuwepo since '08 na atakuwepo for the foreseeable future.

unrelated:: did u fix your son's bully problem?
 
I'm sure utaweza kumlea klein through this 'temptation', sio ngumu kama udhaniavyo. kuhusu maid no thank you, wa kwetu amekuwepo since '08 na atakuwepo for the foreseeable future.unrelated:: did u fix your son's bully problem?
Blaine mtoto hakui kwa mama sio?? na hope you know kwamba kila mama hupenda mwanae mabaya yamwepuke sio?? nitajilaumu sana kama kwa namna yyte ile nimegeuka direct or indirect mtego kwa mwanangu. namjua ni mzuri sana wa sura na hivi amebalehe basi wengi watamtamani.

kama mama yanipasa kumwombea na kusema nae ingawa i will be regretful kwa kumtega mwanangu.
 
Last edited by a moderator:
Kanishangaza huyo mrombo!!!
watoto watatu kila mtoto na baba ake na bado ana mimba ya jamaa mwingine duuu....
haka kamchezo katamu..sosi: Joti
 
sakapal baba Klein hayupo na yeye kama mwanaume siwez kusema hatoanguka dhambini ama la kwani nayeye ni binadamu kama wanaume wengine. na akianguka yeye dhambini kama mtu mzima ataniumiza mm sana sana ila sitokuwa na la kufanya manake yeye kaona hii ndio busara zaid.

Nakiri wakati nilipokuwa teenager gfsonwin beki 3 wa home walinikoma mie.. Ila kwa sasa Nitamshangaa sana na kumtoa maana mwanaume yeyote mwenye mke akamtokea beki 3 wake.. Ni udhalilishaji na ukosefu wa heshima kwa mke wako na watoto wako..
 
Pole sana gfsonwin!!
Hata hvyo I have seen something valuable within yourself!!
Ila jiandae jinsi ya kutuandikia part III hapa labda kama dunia itaacha kuzunguka, naweka dau!!
Tuvute subira!!
Pole!!
 
diii!!!!!!!!!

mwalimuuuu gfsonwin....story ndefu but watch out lolz, what I can say usipende kutafuta wasichana wa short cut bila kujua watokako (historia yao).

Pili... naona shamba boys wako wamegeuza home kwako ni genge la kupata wachuchus lol... why dont opt kuwa na wadada wa2 badala ya opposite sex ... nimewaza tuu manake kaaa
 
Nakiri wakati nilipokuwa teenager gfsonwin beki 3 wa home walinikoma mie.. Ila kwa sasa Nitamshangaa sana na kumtoa maana mwanaume yeyote mwenye mke akamtokea beki 3 wake.. Ni udhalilishaji na ukosefu wa heshima kwa mke wako na watoto wako..
unajua sosoliso kuna siku nilikuwa naongea na mtu mzima sana akaniambia haya haya kwamba enzi za ujana alijifunzia ku du kwa wadada wa kazi wa home kwao. sasa ile impression bado ninayo kwamba hata wanangu kama ni wa kiume nitegemee haya""--""
 
Last edited by a moderator:
diii!!!!!!!!!

mwalimuuuu gfsonwin....story ndefu but watch out lolz, what I can say usipende kutafuta wasichana wa short cut bila kujua watokako (historia yao).

Pili... naona shamba boys wako wamegeuza home kwako ni genge la kupata wachuchus lol... why dont opt kuwa na wadada wa2 badala ya opposite sex ... nimewaza tuu manake kaaa
neggirl huwez kuamini wakaka wang wa shambani huwa wanaoana na wadada wangu wa ndani. anyway labda nitefute makazi mapya ambayo hayatanilazimu kukaa na mdada na mkaka ila hapa ninapoish kwa sasa ni lazima.

nashukuru kwa tahadhari
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom