gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
- Thread starter
- #141
Hahahahaaaaaaaaa! Mimi nilinyang'anya simu, haikusaidia, sasa hivi nawaangalia tu! sa ntafanya nini. Pole sana madam, ila tuongee ukweli jamani, mtu toka asubuhi hadi usiku hana lingine zaidi ya kufua, kuosha vyombo, deki nk......inachosha kwa kweli, mwishowe wanaishia kufanya vioja ili ku-release tension.
thanks ndyoko ila umepote best?? kama disco la shule lolest!!
Last edited by a moderator: